Lowassa anajidhalilisha mwenyewe, amekosa nini huyu mzee ni tamaaa tu ndio inamsumbua. Kwanini asikae nyumbani apumzike?? Anajijua fika yeye ni mgonjwa na hilo halina ubishi, kwanini asitulie nyumbani??? Wacha watu wamdhalilishe sababu ameyataka mwenyewe. Ukiingia vitani kubali kila aina ya kipigo kutoka kwa adui zako. Angekuwa ni mzazi wangu ningemshauri aachane na siasa na akae nyumbani atulie afurahie uzee wake taratibu. #HapaKaziTu Chagua Magufuli. CCM Oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee MAGUFULI Oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Lowassaaaaaaaa Kajinyeaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Toka hapa wala huwezi kuwa na mzazi kama lowassa. Na kwenye vizazi vyako vyote hatokaa atokee mtu kama yeye