TIQO
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 13,787
- 2,079
Vilevile you should know hizo pesa zinatumika vipi na nani ana access kwa hizo hela" Please chip $5 to support Obama for 12" ulikuwa ujumbe kwa wamarekani wote hasa (47%) ambao Mitt Romney did give a damn about. Obama alikuwa Rais, anaruka na AirForce One, hizo pesa zilikuwa za nini? Lakini ndizo zilizo run campaign na kumwezesha kushinda tena. Wewe kama business man, you should know umuhimu wa michango to run project. SHAME ON YOU
Chama huchangiwa, ukiona chama kinahonga, kiogope kama ukoma.Ndugu zanguni
Jana kama wote tulivyoona viongozi wa chadema waliamua kama kawaida yao kwenda kufanya mkutano Iringa mkutano ambao toka Msigwa achukue ubunge ni kama wa hamsini sasa. Sikatai msigwa inabidi aendelee na kampeni kwa sasa kwani amekalia kuti kavu hivyo inabidi kila mwezi lazima apige mkutano mmoja au miwili kuwabembeleza wanyalu.
Jambo lililonishangaza ni kuona wakati mkutano unaendelea Dr Slaa alisimama na kuwaomba wananchi wachange hela za mafuta.
Naomba niwaulize maswali yafutayo;
Kama kweli unataka kuwasaidia wananchi inakuwaje unwaomba hela wakati unajua hawana?
Chadema wanachukua ruzuku serikalini hela ambayo ndio ilitakiwa itumike kukijenga chama ziko wapi?
Kama kweli wabunge wana uchungu na wananchi ni kwa nini wasitumie posho zao kununua mafuta?
Kama kweli wabunge wa chadema wana machungu kwa nini wamenunua magari yenye injini kubwa yanayokunywa mafuta mengi? si wange tumia Nissan micra au Toyota Vitz zenye injini ndogo? ili wasiwe wanawaomba omba wanachi hela ambao tayari wao wanahitaji msaada wao?
Chadema kuweni na huruma kwa wananchi, msiwafanye wananchi mitaji. Wananchi walaiwasaidia wakati wa kampeni kwa hiyo sasa ni wakati wa nyinyi kulipa sio kuomba omba miaka yote.
![]()
JITAMBUE!
Ndugu zanguni
Jana kama wote tulivyoona viongozi wa chadema waliamua kama kawaida yao kwenda kufanya mkutano Iringa mkutano ambao toka Msigwa achukue ubunge ni kama wa hamsini sasa. Sikatai msigwa inabidi aendelee na kampeni kwa sasa kwani amekalia kuti kavu hivyo inabidi kila mwezi lazima apige mkutano mmoja au miwili kuwabembeleza wanyalu.
Jambo lililonishangaza ni kuona wakati mkutano unaendelea Dr Slaa alisimama na kuwaomba wananchi wachange hela za mafuta.
Naomba niwaulize maswali yafutayo;
Kama kweli unataka kuwasaidia wananchi inakuwaje unwaomba hela wakati unajua hawana?
Chadema wanachukua ruzuku serikalini hela ambayo ndio ilitakiwa itumike kukijenga chama ziko wapi?
Kama kweli wabunge wana uchungu na wananchi ni kwa nini wasitumie posho zao kununua mafuta?
Kama kweli wabunge wa chadema wana machungu kwa nini wamenunua magari yenye injini kubwa yanayokunywa mafuta mengi? si wange tumia Nissan micra au Toyota Vitz zenye injini ndogo? ili wasiwe wanawaomba omba wanachi hela ambao tayari wao wanahitaji msaada wao?
Chadema kuweni na huruma kwa wananchi, msiwafanye wananchi mitaji. Wananchi walaiwasaidia wakati wa kampeni kwa hiyo sasa ni wakati wa nyinyi kulipa sio kuomba omba miaka yote.
![]()
JITAMBUE!
Mkuu Ritz kwa hiyo kuongoza nchi ni kuiba na kukomba kila kitu,kuficha fedha zetu Uswiss?? FAST JET, EPA, RICHMOND, DOWANS( nasikia wameanza kulipana fedha za TANESCO) kuuza Loliondo, kuuza Buzwagi, Kahama mine??? Hiyo ndiyo kuongoza nchi au vipi, fisadi mkubwa wewe unalipiwa Lumumba, unashinda kwenye mahoteli makubwa( Mwampamba na Shonza staili)???
Well explained!
" Please chip $5 to support Obama for 12" ulikuwa ujumbe kwa wamarekani wote hasa (47%) ambao Mitt Romney did give a damn about. Obama alikuwa Rais, anaruka na AirForce One, hizo pesa zilikuwa za nini? Lakini ndizo zilizo run campaign na kumwezesha kushinda tena. Wewe kama business man, you should know umuhimu wa michango to run project. SHAME ON YOU
We jamaa u miongoni mwa wale tunaoambiwa mmejiriwa na Kina Nnape, Wassira na Mwigulu Nchemba katika mitandao ya kijamii kujaribu kupambana na kivuli cha CHADEMA nini?? Mbona hoja ni mfu haina mashiko?Ndugu zanguni
Jana kama wote tulivyoona viongozi wa chadema waliamua kama kawaida yao kwenda kufanya mkutano Iringa mkutano ambao toka Msigwa achukue ubunge ni kama wa hamsini sasa. Sikatai msigwa inabidi aendelee na kampeni kwa sasa kwani amekalia kuti kavu hivyo inabidi kila mwezi lazima apige mkutano mmoja au miwili kuwabembeleza wanyalu.
Jambo lililonishangaza ni kuona wakati mkutano unaendelea Dr Slaa alisimama na kuwaomba wananchi wachange hela za mafuta.
Naomba niwaulize maswali yafutayo;
Kama kweli unataka kuwasaidia wananchi inakuwaje unwaomba hela wakati unajua hawana?
Chadema wanachukua ruzuku serikalini hela ambayo ndio ilitakiwa itumike kukijenga chama ziko wapi?
Kama kweli wabunge wana uchungu na wananchi ni kwa nini wasitumie posho zao kununua mafuta?
Kama kweli wabunge wa chadema wana machungu kwa nini wamenunua magari yenye injini kubwa yanayokunywa mafuta mengi? si wange tumia Nissan micra au Toyota Vitz zenye injini ndogo? ili wasiwe wanawaomba omba wanachi hela ambao tayari wao wanahitaji msaada wao?
Chadema kuweni na huruma kwa wananchi, msiwafanye wananchi mitaji. Wananchi walaiwasaidia wakati wa kampeni kwa hiyo sasa ni wakati wa nyinyi kulipa sio kuomba omba miaka yote.
![]()
JITAMBUE!
Vilevile you should know hizo pesa zinatumika vipi na nani ana access kwa hizo hela
Mali bila daftari hupotea bila kujua. Tokea M4C ianze hela nyingi sana zimechangishwa lakini hatujawahi kuambiwa zimetumika vipi
ndugu zanguni
jana kama wote tulivyoona viongozi wa chadema waliamua kama kawaida yao kwenda kufanya mkutano iringa mkutano ambao toka msigwa achukue ubunge ni kama wa hamsini sasa. Sikatai msigwa inabidi aendelee na kampeni kwa sasa kwani amekalia kuti kavu hivyo inabidi kila mwezi lazima apige mkutano mmoja au miwili kuwabembeleza wanyalu.
Jambo lililonishangaza ni kuona wakati mkutano unaendelea dr slaa alisimama na kuwaomba wananchi wachange hela za mafuta.
Naomba niwaulize maswali yafutayo;
kama kweli unataka kuwasaidia wananchi inakuwaje unwaomba hela wakati unajua hawana?
Chadema wanachukua ruzuku serikalini hela ambayo ndio ilitakiwa itumike kukijenga chama ziko wapi?
Kama kweli wabunge wana uchungu na wananchi ni kwa nini wasitumie posho zao kununua mafuta?
Kama kweli wabunge wa chadema wana machungu kwa nini wamenunua magari yenye injini kubwa yanayokunywa mafuta mengi? Si wange tumia nissan micra au toyota vitz zenye injini ndogo? Ili wasiwe wanawaomba omba wanachi hela ambao tayari wao wanahitaji msaada wao?
Chadema kuweni na huruma kwa wananchi, msiwafanye wananchi mitaji. Wananchi walaiwasaidia wakati wa kampeni kwa hiyo sasa ni wakati wa nyinyi kulipa sio kuomba omba miaka yote.
![]()
jitambue!
" Please chip $5 to support Obama for 12" ulikuwa ujumbe kwa wamarekani wote hasa (47%) ambao Mitt Romney did give a damn about. Obama alikuwa Rais, anaruka na AirForce One, hizo pesa zilikuwa za nini? Lakini ndizo zilizo run campaign na kumwezesha kushinda tena. Wewe kama business man, you should know umuhimu wa michango to run project. SHAME ON YOU