Chris Lukosi
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 4,581
- 2,937
Ndugu zanguni
Jana kama wote tulivyoona viongozi wa chadema waliamua kama kawaida yao kwenda kufanya mkutano Iringa mkutano ambao toka Msigwa achukue ubunge ni kama wa hamsini sasa. Sikatai msigwa inabidi aendelee na kampeni kwa sasa kwani amekalia kuti kavu hivyo inabidi kila mwezi lazima apige mkutano mmoja au miwili kuwabembeleza wanyalu.
Jambo lililonishangaza ni kuona wakati mkutano unaendelea Dr Slaa alisimama na kuwaomba wananchi wachange hela za mafuta.
Naomba niwaulize maswali yafutayo;
Kama kweli unataka kuwasaidia wananchi inakuwaje unwaomba hela wakati unajua hawana?
Chadema wanachukua ruzuku serikalini hela ambayo ndio ilitakiwa itumike kukijenga chama ziko wapi?
Kama kweli wabunge wana uchungu na wananchi ni kwa nini wasitumie posho zao kununua mafuta?
Kama kweli wabunge wa chadema wana machungu kwa nini wamenunua magari yenye injini kubwa yanayokunywa mafuta mengi? si wange tumia Nissan micra au Toyota Vitz zenye injini ndogo? ili wasiwe wanawaomba omba wanachi hela ambao tayari wao wanahitaji msaada wao?
Chadema kuweni na huruma kwa wananchi, msiwafanye wananchi mitaji. Wananchi walaiwasaidia wakati wa kampeni kwa hiyo sasa ni wakati wa nyinyi kulipa sio kuomba omba miaka yote.
JITAMBUE!
Jana kama wote tulivyoona viongozi wa chadema waliamua kama kawaida yao kwenda kufanya mkutano Iringa mkutano ambao toka Msigwa achukue ubunge ni kama wa hamsini sasa. Sikatai msigwa inabidi aendelee na kampeni kwa sasa kwani amekalia kuti kavu hivyo inabidi kila mwezi lazima apige mkutano mmoja au miwili kuwabembeleza wanyalu.
Jambo lililonishangaza ni kuona wakati mkutano unaendelea Dr Slaa alisimama na kuwaomba wananchi wachange hela za mafuta.
Naomba niwaulize maswali yafutayo;
Kama kweli unataka kuwasaidia wananchi inakuwaje unwaomba hela wakati unajua hawana?
Chadema wanachukua ruzuku serikalini hela ambayo ndio ilitakiwa itumike kukijenga chama ziko wapi?
Kama kweli wabunge wana uchungu na wananchi ni kwa nini wasitumie posho zao kununua mafuta?
Kama kweli wabunge wa chadema wana machungu kwa nini wamenunua magari yenye injini kubwa yanayokunywa mafuta mengi? si wange tumia Nissan micra au Toyota Vitz zenye injini ndogo? ili wasiwe wanawaomba omba wanachi hela ambao tayari wao wanahitaji msaada wao?
Chadema kuweni na huruma kwa wananchi, msiwafanye wananchi mitaji. Wananchi walaiwasaidia wakati wa kampeni kwa hiyo sasa ni wakati wa nyinyi kulipa sio kuomba omba miaka yote.
![scam.jpg](/proxy.php?image=http%3A%2F%2Fwww.asia-traveller.com%2Fwp-content%2Fuploads%2F2012%2F08%2Fscam.jpg&hash=094361e1d2d20add49a51dc227ce718f)
JITAMBUE!