Inaniuma sana

Inaniuma sana

Hivi wanaume ma-player (kama we ni bazazi mstaafu au still in action em pitia hapa ujibu) wanatuliaga at some point in their life kweli??unakuta tyr jamaa ashakuwa na wanawake zaidi ya 100 na anakuambia wazi,ataridhika na mimi tu kwelii??ama once a player always a player??
 
Dada anampenda rafiki yangu, siwezi kumuoa maana najua upendo wake kwa rafiki yangu hauishi hata wakiachana vipi, unataka nimegewe?

Mwambie rafiki yako hafai atampa ukimwi atakuelewa mkuu
 
Dada anampenda rafiki yangu, siwezi kumuoa maana najua upendo wake kwa rafiki yangu hauishi hata wakiachana vipi, unataka nimegewe?

kwani unategemea kumuoa msichana ambaye hajamegwa??
 
Chamsingi onya hiyo rafiki ako aache umalaya pori!hapo utakua umemsaidia huyo shemejiyo kpenz,ambaye hana hatia.tafakari...chukua hatua

Malaya ni Malaya tu hawezi kumsikiliza na amekwisha Sema rafiki yake hasikii! Mtendee haki dada wa watu mwambie ukweli atakuja kumuua bure na ushamba wake wa wanawake!
 
kwani unategemea kumuoa msichana ambaye hajamegwa??

Hujui hata simuelewi sasa unataka mwanamke bikra? Hata Kama anampenda rafiki yako unafikiri ukimueleza tabia za rafiki yako bado atakuwa anampenda tu? Basi atakuwa mwehu.
 
^^
When you feel painful for a fellow's burden, it might be a sign of true love for that fellow
^^
 
Malaya ni Malaya tu hawezi kumsikiliza na amekwisha Sema rafiki yake hasikii! Mtendee haki dada wa watu mwambie ukweli atakuja kumuua bure na ushamba wake wa wanawake!

Tatizo naogopa kuonekana mbaya
 
sasa wewe unataka ushauri gani jf kumuoa hutaki/kumwambia dada ukweli hutaki????

act like man bhana wanaume wanakuwa na misimamo na maamuzi sio kulalamika lalamika
 
sasa wewe unataka ushauri gani jf kumuoa hutaki/kumwambia dada ukweli hutaki????

act like man bhana wanaume wanakuwa na misimamo na maamuzi sio kulalamika lalamika

Thanks for advice
 
Hayanihusu moja kwa moja ila inaniuma kwa kweli. Nina rafiki yangu ana girlfriend wake ambae dada huyo anampenda sana rafiki yangu na anafanya kila analoweza kumfurahisha jamaa. Rafiki yangu ni kicheche ana wasichana wasiohesabika anabadili kila leo japo anampenda huyu mdada kuliko wanawake wake wote. Huyu mdada she is wife material kabisa kimuonekano hata kitabia, natamani rafiki yangu amuoe lakini kwa upande wa pili tabia za jamaa naona either atakuja kumuumiza mdada akijua jamaa kicheche au atamuambukiza STD's. Naumia sana nikiwaza maisha ya mdada baadae. Sina la kufanya maana rafiki hashauriki. Wana MMU nimsaidiaje mdada
Kweli kwenye miti hakuna wajenzi
 
Birds of the same feathers flock together.Huenda jamaa ni rafiki yako kwa maana kitabia mpo sawa.Mwambie bidada acheze mchezo salama kila cku iwe siku ya nenda kwa usalama.
 
Ngoja nimpe time ya kujirekebisha


...kaaaah..uko Dar au wapi ... mchane huyu mvulana malayaaaa...huyo demu wake nae yuko Dar au wapi...nikupe maujanja fasta demu mwenyewe amnase..ajionee
 
Hivi wanaume ma-player (kama we ni bazazi mstaafu au still in action em pitia hapa ujibu) wanatuliaga at some point in their life kweli??unakuta tyr jamaa ashakuwa na wanawake zaidi ya 100 na anakuambia wazi,ataridhika na mimi tu kwelii??ama once a player always a player??

Sentensi ya mwisho ndo jibu sahihi. Jasiri haachi asili.
 
Back
Top Bottom