Hivi wanaume ma-player (kama we ni bazazi mstaafu au still in action em pitia hapa ujibu) wanatuliaga at some point in their life kweli??unakuta tyr jamaa ashakuwa na wanawake zaidi ya 100 na anakuambia wazi,ataridhika na mimi tu kwelii??ama once a player always a player??
Lete namba yake hapa
changamkia fursa hiyo..
Kaka na wewe unataka umuumize dada wa watu
ndio jibu nililokuwa nataka nimpe. naunga mkono hoja, thekyu veri machiii.Muoe wewe mkuu.
hapana nataka kumpoza roho
ndio jibu nililokuwa nataka nimpe. naunga mkono hoja, thekyu veri machiii.