Inaniuma saana

Hahahaahaaaaa!!!!!umenichekesha sana , hapo kwenye RED, yaani ni ukweli maana unaona kama anachezea pesa vile, mpk akung'ang'anize sana ndiyo unakwenda kwa shingo upande, na masharti juu kuwa pesa ushike wewe, maana akishika yeye anakuwa anazitoa tu utafikiri alipokuwa anatafuta ilikuwa rahisi hivyo, Loh!! Billie umenipiga dongo, itabidi nijirekebishe.

unajua kuna vi sentensi ambavyo tukivisikia huwa tunavutiwa kutangaza ndoa.Sio sichana linaongoza kuzungumzia viwanja na mapafyumu ya bei za juu tofauti na uwezo wake.MENGINE NDO YALE YANAYOJUA KUDRIVE GARI ILA KUSONGA UGALI HAYAWEZ DAMN IT.
NISIPONDE SANA KWA WANAWAKE PIA HATA UPANDE WETU YAPO MAVIMEO WE UNAKUTA JANAUME KILA SIKU LINAENDA GYM KUBEBA MAVYUMA MAKUBWA ILA LIAMBIE LIKUSAIDIE KUBEBA MAJI UONE LINAVYOPOROMOSHA MASABABU DAMN IT.
 
anachosema Billie ni sahihi kuna CHAPA chezea na CHAPA olewa..
Koo nyingine zilishabeba nuksi..mabinti hawaolew...
Ndo anazopita mtoa mada

Mbona hata dada @ lara 1 analijua
 
Last edited by a moderator:
pa kumpatia sio sababu ila ni kama umeongea point kuwa kuna wa kuoa na kuchezea sasa utawajuaje wakati unakutana nao mara ya kwanza? na kama mtu unakaa naye zaidi ya miez 6 mpaka mwaka anakuwa anaelekea kuwa mke mwema na mbele ana change kama hivi si tutaoa baada ya kukutana na wanawake zaidi ya 10 jaman??

Micharuko wanajulikana tu hata story na uongeaji wake.
 
Hii dhana yakuchezea mwanamke huwa sielewagi!!!!!unamchezea how wakati kama kufanya mnafanya wote..........mwanaume anayejitambua pia hachezei mwanamke.

Mi mwenyewe huwa siielewi. mapenz yakifika mwisho mwanamke na majirani utawasikia Billie umemchezea mtoto wa watu.So hebu nenda kwa madada wenzako waache kuitamka kauli hii kama hawajui maana yake.
 
Last edited by a moderator:
Da! Pole sana kaka, ila hawa wa2 cyo. Au unaingia kwa mkwara mzito baadae unashindwa kuhimili mapigo? (gharama). Utakae mpata mhoneshe maisha ya kawaida saaana. Na huconeshe kama unampenda kivile den husimhadisie kuhusu wale X-machangu yako
 
pole sana mkuu-kama wewe ni mople jaribu kuwa rough kwenye mapenzi-kuwa mkorofi-lazima watabehave tu wakiwa na wewe-na si kila demu unayempata unamchukulia kuwa huyo ndo atakuwa mkeo-kaa nao kwanza uwasome vyema
 
Ni kama nina mkosi au ni kwamba wanawake wote ni waongo au ni hawa ninaokutana nao tu? haya ndo maswali nayojiuliza saana:

GF wangu wa kwanza:- nilikaa naye kwa muda wa miaka 3 nikajua ndo mke wangu na maisha tulishaanza yapanga,
sijui kama alikuwa anaigiza au alibadilika but alianza kuwa jeuri na kupotosha ahad, mwisho wa siku nilimpatia hela kama 2M akalipie kitu akaondoka nazo na kuniruka kuwa sijampa na kuniambia amenichoka na umasikini wangu namsingizia!!

baada ya maumivu na majonzi nikapata mwingine ambaye alifuta machozi kwa mapenzi ya kweli na kunihakikishia ni wangu milele!! sitaki kuamini kuwa baada ya mwaka na nusu, alianza kuingia kazini usiku gafla, mara kesho yake harudi et ameunganisha shift kufatilia officen kwao hakukuwa na shift ya usiku bt alikuwa analala gest au kwa wanaume!! pia alianza kuwa mlevi na dharau ki future sikumuhitaj tena ikabidi nimpotezee japo iliniuma saaana

ilinichukua muda nikawa sina girlfrnd pamanet nikawa nachukua wa hamu kwa hasira but ikatokea kupendana na girl
1 ambaye alikuwa anafanya kazi airpot na tulikuwa tuna kutana sana week end katika swiming pool,

nilikaa naye kama miaka 2, tulianza jenga maisha na mipango kunyooka, nilishamtambulisha kwa ndugu na jamaa pia!!
miezi mi 4 iliyopita alianza ku change kidogo, tulikuwa tupo huru kila mtu kupiga au kupokea simu ya mwenzi but mwenzangu akaanza kukataa, friends zangu wa karbu na watu waliokuwa wamemzunguka pia walianza kuniambie kuwa ana wanaume mara anakaa bar ovyo na kukutwa akitoka gest mara kwa mara!! nilikuwa namwamini sikuwasikia wala kuwaamini binadamu

siku ya Ijumaa ya Tarehe 30 mwezi huu sitaweza isahau kamwe, ilikuwa jioni nikiwa njian natoka officen alinipigia simu kuniambia kuwa anakuja kwangu nikamwabia is fine baada ya dk kama 35 nitakuwa nimefika!!

saa 1 mbele akanipigia kuwa atakuja mida ya saa 5 usiku coz anapitia kwa dada yake nikamwambi fine!!

saa 2 nilipigiwa simu na namba ngeni, ilikuwa sauti ya kiume iliyoniambia 'si unamwamini sana demu wako? njoo hapa (jina ba bar & gest) haraka

nikiwa kama sijaelewa hivi nikaamua kwenda, nikapga ile number jamaa akapokea akaniambia sitaki ujue mm nani naomba tu chat na fata maelekezo yangu, tuka chat mpaka akaniambie niende room ya jina la Morogoro theni nigonge au nishubiri hapo mpaka walio ndani watoke!!

nikampigia simu rafiki yangu akaja pale akashauri nigonge! kugonga sikuamini Mpenzi wangu alitota kunifungulia, nilihisi damu kusimama nikaondoka kwa hasira nikarudi home!!

mpaka muda huu na post hapa nashukuru mungu ni mzima nipo officen na bado napumua!! tangu ile juzi sijawasiliana naye naye pia yupo kimia!!

sitaki mnishauri nimsamehe but naomba mniambie kuna haja wa kumwamini tena msichana au nianje kuwachapa tu? au nikae kivyangu nipige hata nyeto maisha yaendeleee.....?

Aisee haya ni majanga. Worry out. There is a light at the end of the tunnel
 
Ni kama nina mkosi au ni kwamba wanawake wote ni waongo au ni hawa ninaokutana nao tu? haya ndo maswali nayojiuliza saana:

GF wangu wa kwanza:- nilikaa naye kwa muda wa miaka 3 nikajua ndo mke wangu na maisha tulishaanza yapanga,
sijui kama alikuwa anaigiza au alibadilika but alianza kuwa jeuri na kupotosha ahad, mwisho wa siku nilimpatia hela kama 2M akalipie kitu akaondoka nazo na kuniruka kuwa sijampa na kuniambia amenichoka na umasikini wangu namsingizia!!

baada ya maumivu na majonzi nikapata mwingine ambaye alifuta machozi kwa mapenzi ya kweli na kunihakikishia ni wangu milele!! sitaki kuamini kuwa baada ya mwaka na nusu, alianza kuingia kazini usiku gafla, mara kesho yake harudi et ameunganisha shift kufatilia officen kwao hakukuwa na shift ya usiku bt alikuwa analala gest au kwa wanaume!! pia alianza kuwa mlevi na dharau ki future sikumuhitaj tena ikabidi nimpotezee japo iliniuma saaana

ilinichukua muda nikawa sina girlfrnd pamanet nikawa nachukua wa hamu kwa hasira but ikatokea kupendana na girl
1 ambaye alikuwa anafanya kazi airpot na tulikuwa tuna kutana sana week end katika swiming pool,

nilikaa naye kama miaka 2, tulianza jenga maisha na mipango kunyooka, nilishamtambulisha kwa ndugu na jamaa pia!!
miezi mi 4 iliyopita alianza ku change kidogo, tulikuwa tupo huru kila mtu kupiga au kupokea simu ya mwenzi but mwenzangu akaanza kukataa, friends zangu wa karbu na watu waliokuwa wamemzunguka pia walianza kuniambie kuwa ana wanaume mara anakaa bar ovyo na kukutwa akitoka gest mara kwa mara!! nilikuwa namwamini sikuwasikia wala kuwaamini binadamu

siku ya Ijumaa ya Tarehe 30 mwezi huu sitaweza isahau kamwe, ilikuwa jioni nikiwa njian natoka officen alinipigia simu kuniambia kuwa anakuja kwangu nikamwabia is fine baada ya dk kama 35 nitakuwa nimefika!!

saa 1 mbele akanipigia kuwa atakuja mida ya saa 5 usiku coz anapitia kwa dada yake nikamwambi fine!!

saa 2 nilipigiwa simu na namba ngeni, ilikuwa sauti ya kiume iliyoniambia 'si unamwamini sana demu wako? njoo hapa (jina ba bar & gest) haraka

nikiwa kama sijaelewa hivi nikaamua kwenda, nikapga ile number jamaa akapokea akaniambia sitaki ujue mm nani naomba tu chat na fata maelekezo yangu, tuka chat mpaka akaniambie niende room ya jina la Morogoro theni nigonge au nishubiri hapo mpaka walio ndani watoke!!

nikampigia simu rafiki yangu akaja pale akashauri nigonge! kugonga sikuamini Mpenzi wangu alitota kunifungulia, nilihisi damu kusimama nikaondoka kwa hasira nikarudi home!!

mpaka muda huu na post hapa nashukuru mungu ni mzima nipo officen na bado napumua!! tangu ile juzi sijawasiliana naye naye pia yupo kimia!!

sitaki mnishauri nimsamehe but naomba mniambie kuna haja wa kumwamini tena msichana au nianje kuwachapa tu? au nikae kivyangu nipige hata nyeto maisha yaendeleee.....?

uwezo wako 6x6 ukoje? jaribu kuji-assess vizuri hapo!
 
Ndugu una umri gani kama ni zaid ya 28 tafuta mke lkn kama ulivyo shauriwa kua kuna mke wa kuoa na wanawake wa kucheza nao lkn kama hujafika hiyo age jipange kimaisha sanasana weka miraad inayo zarisha hawa viumbe watakuharibia future wapo na watazid kuwepo. Pia fanya mazoez hasa ya kukimbia na viungo ili kuongeza ufanis 6x6 watakuja wenyewe.
 
Dah . . . .pole sana kaka , girls are more than foxes, unawapa kils kitu ils wanaishia kudisappoint watu,we panga maisha yako kaka na umwombe Mungu utapata mwaminifu kaka pole sana, wanawake wengi ni short sighted
 
Back
Top Bottom