Billie
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 12,726
- 19,875
Hahahaahaaaaa!!!!!umenichekesha sana , hapo kwenye RED, yaani ni ukweli maana unaona kama anachezea pesa vile, mpk akung'ang'anize sana ndiyo unakwenda kwa shingo upande, na masharti juu kuwa pesa ushike wewe, maana akishika yeye anakuwa anazitoa tu utafikiri alipokuwa anatafuta ilikuwa rahisi hivyo, Loh!! Billie umenipiga dongo, itabidi nijirekebishe.
unajua kuna vi sentensi ambavyo tukivisikia huwa tunavutiwa kutangaza ndoa.Sio sichana linaongoza kuzungumzia viwanja na mapafyumu ya bei za juu tofauti na uwezo wake.MENGINE NDO YALE YANAYOJUA KUDRIVE GARI ILA KUSONGA UGALI HAYAWEZ DAMN IT.
NISIPONDE SANA KWA WANAWAKE PIA HATA UPANDE WETU YAPO MAVIMEO WE UNAKUTA JANAUME KILA SIKU LINAENDA GYM KUBEBA MAVYUMA MAKUBWA ILA LIAMBIE LIKUSAIDIE KUBEBA MAJI UONE LINAVYOPOROMOSHA MASABABU DAMN IT.