Inaniuma saana

Inaniuma saana

Anza kutafuna vicheche kwanza. Ukishapata experience ndio utafute mke wa kuoa
 
Tafuta innocent girls wanavaa magauni,na wanasali sana sasa wewe unaenda kwa hao wavaa vipedo,na kwenda kula bata swiming pool.POLE ZAKO Unatakiwa uwe na mke ambae ukimwambia twende kula bata swimming pool anajibu "mpz zambi kwenda huko"



Nimechekaje?
 
Pole sana kaka Erick! Mapenz ya cku hzi ni maumiv. Yan hapa kila mtu ana janga lake. Uckate tamaa wakt bdo unapumua. Ila nakushaur kwanza tuliza kchwa, af mwite mungu ktk maisha yako akuonyeshe Eva wako ni nani. Mungu huwa anajibu japo kwa kuchelewa. Kila Adam ana Eva wake, kazi ipo kumtambua sasa, utaumizwa bt mwisho wa cku utampata alietoka kny ubav wako wa kushoto. Sisi wanawake tupo tofauti ndugu unapaswa kuwa makin sana. Ucjickie upweke sana coz co peke yako ulieumizwa, tupo wengi tumeumizwa tumeamua kutulia tu. Subra muhm kaka.
 
Pole sana mkuu.
Kwa sababu hujaoa una mda wa kuangalia mustakabali mwingine. Kama ungekuwa umeoa ungeshawishika kusamehe na kuendelea na safari kwa sababu Ndoa ni agano la milele. Kifo tu ndio kimepewa mamlaka halali ya kutoa talaka kwenye ndoa.
Kwa miasha ya sasa huna haja ya kupanda presha na kuhamaki sana. Hilo limeshatokea huna budi ya kulirusha nyuma na kuanza maisha upya (Still the decision is totally yours to make)
Wanawake ni wengi sana na yupo ambaye ameandaliwa kwa ajili yako. Muamini Mungu ndio matchmaker mkuu linapokuja suala la ndoa.
Maombi yangu kwa Mungu akupe subira wakati unamngoja yule akupasae kuishi nawe. Aliepewa majukumu ya kuwa msaidizi wa kweli katika maisha yako.
Amina
 
pole sana ila ushauri wangu wanawake wa kuoa usitafutie maeneo ya starehe.

mwombe mungu akupe mwanamke mwenye mapenzi si wote wapo ivyo.

jaribu kukaa kwa kipindi fulani bila kuwa na uhusiano wowote. then ndo ufanye maamuzi.
 
hicho ndo kitu nahisi ni dhambi kwangu!! ku change na kuwa na wasichan tofauti!! sema nako elekea itabidi nijifunze

Nooooo,kaka yangu don dare do that, hakuna chochote cha maana utakachopata zaidi ya dhambi!
Ww tulia tu,omba toba... mwambie,Mungu....ht hayo maumivu yataisha
 
mmmmh tatixo ninaloliona hapa ni papara mkuu!tumia muda kusoma angalau kahistoria ka mwenza kabla ya kuamua la sivyo utaokota milupo kila siku mkuu!kukutana tu swimming pull unatangaza ndoa!siku hizi kuna mapinduzi makubwa mkuu Enzi zile ukitaka kuona ---- unafunua chupi lakini siku hizi ukitaka kuona chupi unafunua ----!ni angalizo u mkuu.
 
Unatafuta wazuri mno ambao sio size yako, we miaka 7 na kuchenji lovers si una Masters ya mapenzi, ila pole ka kweli
 
ila omba Mungu, coz kuna roho za kukataliwa pia unajua....so unaweza ukawa unalaumu wadada kumbe ww ndo una tatizo....
Km ni mkristo najua unaelewa nachomaanisha
 
Hiki kisa kama cyo cha kubuni cjui ila kama ni cha kweli pole Ushauri wangu kwako jaribu Kufunga na kumrudia Mungu atakuongoza and uwe makini kwama walivyo xema wenzangu hapo juu cyo kila mwanamke waweza kuoa...
 
Unajua ngono inapokuwa ndio kitu cha kwanza kuwaunganisha binti na kijana mwisho wake ndio huu, (ngono kwanza then idea ya mke na mume inafuata), kama ngono ingekuwa ni kitu cha pili cha kufikiria kabla ya kumtokea mdada nadhani tafakari kali kabla ya kufanya uamuzi wa kumtokea demu ingefanyika na ingetoa tathimini kama huyo unaruka nae au ni permanent maana kwa mwanaume mtu mzima anapomtokea demu huwa ana mawili kichwani either anapitia tu alafu baadae anaingia mitini (though atajifanya anataka kuoa) au anapitia huku tayari alishamfuatilia na kuona kwamba anafaa kuwa mke.

Nadhani mdau utakuwa unatumia approach ya kugegeda tu then in the course of relationship idea ya maarriage inakuja, maoni yangu usihuzunike sana kwani hiyo ni sehemu ya funzo na kukufanya strong kwani mke wako utakaekuja kumuoa yupo tu anakusubiri ukifika muda atatokea. Pia na wewe mahusiano gani hayo ya miaka mitatu upo na demu alafu unasema una mipango nae ya ndoa huku ukizingatia tendo la kupenda ni la mara moja (ukimpata mwingine usichukue muda mrefu sana wa miaka kadhaa unakula mzigo tu alafu hueleweki kwani kuna ambao wakiona kitu hukifanyia tathimini ya haraka na kutangaza nia baada ya miezi 8 tu tangu wafahamiane, unaweza kumwona kicheche (ukiondoa huyo wa fumanizi) kumbe na wewe ulichelewa kutangaza nia akaja mtu akatangaza nia kabla ya kula mzigo mwisho wa siku akashinda.
 
Pole saana, kaza moyo ila hiyo ni cha mtoto, je ungekuwa mko wote mme/mke, halafu anakuaga anaenda msibani kwao , kesho unadamka kumfuata msibani halafu unakuta hakuna msiba na yeye hayupo pale!!!!!!!!!!!!!, si umgezimia kabisa?????????. Msamehe kwa kuwa hajui alitendalo ila mwombe mungu akujalie mke wa kweli
 
Tafuta innocent girls wanavaa magauni,na wanasali sana sasa wewe unaenda kwa hao wavaa vipedo,na kwenda kula bata swiming pool.POLE ZAKO Unatakiwa uwe na mke ambae ukimwambia twende kula bata swimming pool anajibu "mpz zambi kwenda huko"

Hahahaahaaaaa!!!!!umenichekesha sana , hapo kwenye RED, yaani ni ukweli maana unaona kama anachezea pesa vile, mpk akung'ang'anize sana ndiyo unakwenda kwa shingo upande, na masharti juu kuwa pesa ushike wewe, maana akishika yeye anakuwa anazitoa tu utafikiri alipokuwa anatafuta ilikuwa rahisi hivyo, Loh!! Billie umenipiga dongo, itabidi nijirekebishe.
 
Ni kama nina mkosi au ni kwamba wanawake wote ni waongo au ni hawa ninaokutana nao tu? haya ndo maswali nayojiuliza saana:

GF wangu wa kwanza:- nilikaa naye kwa muda wa miaka 3 nikajua ndo mke wangu na maisha tulishaanza yapanga,
sijui kama alikuwa anaigiza au alibadilika but alianza kuwa jeuri na kupotosha ahad, mwisho wa siku nilimpatia hela kama 2M akalipie kitu akaondoka nazo na kuniruka kuwa sijampa na kuniambia amenichoka na umasikini wangu namsingizia!!

baada ya maumivu na majonzi nikapata mwingine ambaye alifuta machozi kwa mapenzi ya kweli na kunihakikishia ni wangu milele!! sitaki kuamini kuwa baada ya mwaka na nusu, alianza kuingia kazini usiku gafla, mara kesho yake harudi et ameunganisha shift kufatilia officen kwao hakukuwa na shift ya usiku bt alikuwa analala gest au kwa wanaume!! pia alianza kuwa mlevi na dharau ki future sikumuhitaj tena ikabidi nimpotezee japo iliniuma saaana

ilinichukua muda nikawa sina girlfrnd pamanet nikawa nachukua wa hamu kwa hasira but ikatokea kupendana na girl
1 ambaye alikuwa anafanya kazi airpot na tulikuwa tuna kutana sana week end katika swiming pool,

nilikaa naye kama miaka 2, tulianza jenga maisha na mipango kunyooka, nilishamtambulisha kwa ndugu na jamaa pia!!
miezi mi 4 iliyopita alianza ku change kidogo, tulikuwa tupo huru kila mtu kupiga au kupokea simu ya mwenzi but mwenzangu akaanza kukataa, friends zangu wa karbu na watu waliokuwa wamemzunguka pia walianza kuniambie kuwa ana wanaume mara anakaa bar ovyo na kukutwa akitoka gest mara kwa mara!! nilikuwa namwamini sikuwasikia wala kuwaamini binadamu

siku ya Ijumaa ya Tarehe 30 mwezi huu sitaweza isahau kamwe, ilikuwa jioni nikiwa njian natoka officen alinipigia simu kuniambia kuwa anakuja kwangu nikamwabia is fine baada ya dk kama 35 nitakuwa nimefika!!

saa 1 mbele akanipigia kuwa atakuja mida ya saa 5 usiku coz anapitia kwa dada yake nikamwambi fine!!

saa 2 nilipigiwa simu na namba ngeni, ilikuwa sauti ya kiume iliyoniambia 'si unamwamini sana demu wako? njoo hapa (jina ba bar & gest) haraka

nikiwa kama sijaelewa hivi nikaamua kwenda, nikapga ile number jamaa akapokea akaniambia sitaki ujue mm nani naomba tu chat na fata maelekezo yangu, tuka chat mpaka akaniambie niende room ya jina la Morogoro theni nigonge au nishubiri hapo mpaka walio ndani watoke!!

nikampigia simu rafiki yangu akaja pale akashauri nigonge! kugonga sikuamini Mpenzi wangu alitota kunifungulia, nilihisi damu kusimama nikaondoka kwa hasira nikarudi home!!

mpaka muda huu na post hapa nashukuru mungu ni mzima nipo officen na bado napumua!! tangu ile juzi sijawasiliana naye naye pia yupo kimia!!

sitaki mnishauri nimsamehe but naomba mniambie kuna haja wa kumwamini tena msichana au nianje kuwachapa tu? au nikae kivyangu nipige hata nyeto maisha yaendeleee.....?

There is some one special for you kijana. Acha kupiga mayowe kwasababu hilo jambo nilakawaida saaaaaaana. Ila ushauri wangu kwako ni huu (USIPIME KINA CHA MAJI KWA MIGUU YOTE MIWILI)
 
Ni kama nina mkosi au ni kwamba wanawake wote ni waongo au ni hawa ninaokutana nao tu? haya ndo maswali nayojiuliza saana:

GF wangu wa kwanza:- nilikaa naye kwa muda wa miaka 3 nikajua ndo mke wangu na maisha tulishaanza yapanga,
sijui kama alikuwa anaigiza au alibadilika but alianza kuwa jeuri na kupotosha ahad, mwisho wa siku nilimpatia hela kama 2M akalipie kitu akaondoka nazo na kuniruka kuwa sijampa na kuniambia amenichoka na umasikini wangu namsingizia!!

baada ya maumivu na majonzi nikapata mwingine ambaye alifuta machozi kwa mapenzi ya kweli na kunihakikishia ni wangu milele!! sitaki kuamini kuwa baada ya mwaka na nusu, alianza kuingia kazini usiku gafla, mara kesho yake harudi et ameunganisha shift kufatilia officen kwao hakukuwa na shift ya usiku bt alikuwa analala gest au kwa wanaume!! pia alianza kuwa mlevi na dharau ki future sikumuhitaj tena ikabidi nimpotezee japo iliniuma saaana

ilinichukua muda nikawa sina girlfrnd pamanet nikawa nachukua wa hamu kwa hasira but ikatokea kupendana na girl
1 ambaye alikuwa anafanya kazi airpot na tulikuwa tuna kutana sana week end katika swiming pool,

nilikaa naye kama miaka 2, tulianza jenga maisha na mipango kunyooka, nilishamtambulisha kwa ndugu na jamaa pia!!
miezi mi 4 iliyopita alianza ku change kidogo, tulikuwa tupo huru kila mtu kupiga au kupokea simu ya mwenzi but mwenzangu akaanza kukataa, friends zangu wa karbu na watu waliokuwa wamemzunguka pia walianza kuniambie kuwa ana wanaume mara anakaa bar ovyo na kukutwa akitoka gest mara kwa mara!! nilikuwa namwamini sikuwasikia wala kuwaamini binadamu

siku ya Ijumaa ya Tarehe 30 mwezi huu sitaweza isahau kamwe, ilikuwa jioni nikiwa njian natoka officen alinipigia simu kuniambia kuwa anakuja kwangu nikamwabia is fine baada ya dk kama 35 nitakuwa nimefika!!

saa 1 mbele akanipigia kuwa atakuja mida ya saa 5 usiku coz anapitia kwa dada yake nikamwambi fine!!

saa 2 nilipigiwa simu na namba ngeni, ilikuwa sauti ya kiume iliyoniambia 'si unamwamini sana demu wako? njoo hapa (jina ba bar & gest) haraka

nikiwa kama sijaelewa hivi nikaamua kwenda, nikapga ile number jamaa akapokea akaniambia sitaki ujue mm nani naomba tu chat na fata maelekezo yangu, tuka chat mpaka akaniambie niende room ya jina la Morogoro theni nigonge au nishubiri hapo mpaka walio ndani watoke!!

nikampigia simu rafiki yangu akaja pale akashauri nigonge! kugonga sikuamini Mpenzi wangu alitota kunifungulia, nilihisi damu kusimama nikaondoka kwa hasira nikarudi home!!

mpaka muda huu na post hapa nashukuru mungu ni mzima nipo officen na bado napumua!! tangu ile juzi sijawasiliana naye naye pia yupo kimia!!

sitaki mnishauri nimsamehe but naomba mniambie kuna haja wa kumwamini tena msichana au nianje kuwachapa tu? au nikae kivyangu nipige hata nyeto maisha yaendeleee.....?

Wacha kupiga mayowe haya mambo ni yakawaida sana. Ushauri wangu kwako ni huu ( usipime kina cha mto kwa miguu yote miwili). Be patient coz there is some one special for you.
 
Back
Top Bottom