Utawala2025
JF-Expert Member
- Oct 20, 2023
- 330
- 1,060
Mungu na aisaidie jinsia ya kike.
Jana nilikuwa nimepigiwa simu kuna deal la laki 5 mjini na ilibidi niwahi ndani ya nusu saa niwe nimefika.
Nilikuwa nimevaa Haraka nawahi usafiri mara mke wangu ananiita.
Mume wangu .
Mimi nikamjibu niambie.
Mke sasa si uingie bafuni ukaoge.
Nikamwambia nikioga tu nitapoteza muda na kukosa hela.
Fasta nikasepa.
Ila moyoni nikajiuliza huyu mke wangu hajui kupanga vipaumbele maishani .
Kiukweli wanawake wa sasa iwe mahusiano au ndo wana shida na Vipaumbele katika maisha.
Wao wako emotional
Jana nilikuwa nimepigiwa simu kuna deal la laki 5 mjini na ilibidi niwahi ndani ya nusu saa niwe nimefika.
Nilikuwa nimevaa Haraka nawahi usafiri mara mke wangu ananiita.
Mume wangu .
Mimi nikamjibu niambie.
Mke sasa si uingie bafuni ukaoge.
Nikamwambia nikioga tu nitapoteza muda na kukosa hela.
Fasta nikasepa.
Ila moyoni nikajiuliza huyu mke wangu hajui kupanga vipaumbele maishani .
Kiukweli wanawake wa sasa iwe mahusiano au ndo wana shida na Vipaumbele katika maisha.
Wao wako emotional