ERIK
JF-Expert Member
- Jun 5, 2013
- 623
- 314
Ni kama nina mkosi au ni kwamba wanawake wote ni waongo au ni hawa ninaokutana nao tu? haya ndo maswali nayojiuliza saana:
GF wangu wa kwanza:- nilikaa naye kwa muda wa miaka 3 nikajua ndo mke wangu na maisha tulishaanza yapanga,
sijui kama alikuwa anaigiza au alibadilika but alianza kuwa jeuri na kupotosha ahad, mwisho wa siku nilimpatia hela kama 2M akalipie kitu akaondoka nazo na kuniruka kuwa sijampa na kuniambia amenichoka na umasikini wangu namsingizia!!
baada ya maumivu na majonzi nikapata mwingine ambaye alifuta machozi kwa mapenzi ya kweli na kunihakikishia ni wangu milele!! sitaki kuamini kuwa baada ya mwaka na nusu, alianza kuingia kazini usiku gafla, mara kesho yake harudi et ameunganisha shift kufatilia officen kwao hakukuwa na shift ya usiku bt alikuwa analala gest au kwa wanaume!! pia alianza kuwa mlevi na dharau ki future sikumuhitaj tena ikabidi nimpotezee japo iliniuma saaana
ilinichukua muda nikawa sina girlfrnd pamanet nikawa nachukua wa hamu kwa hasira but ikatokea kupendana na girl
1 ambaye alikuwa anafanya kazi airpot na tulikuwa tuna kutana sana week end katika swiming pool,
nilikaa naye kama miaka 2, tulianza jenga maisha na mipango kunyooka, nilishamtambulisha kwa ndugu na jamaa pia!!
miezi mi 4 iliyopita alianza ku change kidogo, tulikuwa tupo huru kila mtu kupiga au kupokea simu ya mwenzi but mwenzangu akaanza kukataa, friends zangu wa karbu na watu waliokuwa wamemzunguka pia walianza kuniambie kuwa ana wanaume mara anakaa bar ovyo na kukutwa akitoka gest mara kwa mara!! nilikuwa namwamini sikuwasikia wala kuwaamini binadamu
siku ya Ijumaa ya Tarehe 30 mwezi huu sitaweza isahau kamwe, ilikuwa jioni nikiwa njian natoka officen alinipigia simu kuniambia kuwa anakuja kwangu nikamwabia is fine baada ya dk kama 35 nitakuwa nimefika!!
saa 1 mbele akanipigia kuwa atakuja mida ya saa 5 usiku coz anapitia kwa dada yake nikamwambi fine!!
saa 2 nilipigiwa simu na namba ngeni, ilikuwa sauti ya kiume iliyoniambia 'si unamwamini sana demu wako? njoo hapa (jina ba bar & gest) haraka
nikiwa kama sijaelewa hivi nikaamua kwenda, nikapga ile number jamaa akapokea akaniambia sitaki ujue mm nani naomba tu chat na fata maelekezo yangu, tuka chat mpaka akaniambie niende room ya jina la Morogoro theni nigonge au nishubiri hapo mpaka walio ndani watoke!!
nikampigia simu rafiki yangu akaja pale akashauri nigonge! kugonga sikuamini Mpenzi wangu alitota kunifungulia, nilihisi damu kusimama nikaondoka kwa hasira nikarudi home!!
mpaka muda huu na post hapa nashukuru mungu ni mzima nipo officen na bado napumua!! tangu ile juzi sijawasiliana naye naye pia yupo kimia!!
sitaki mnishauri nimsamehe but naomba mniambie kuna haja wa kumwamini tena msichana au nianje kuwachapa tu? au nikae kivyangu nipige hata nyeto maisha yaendeleee.....?
GF wangu wa kwanza:- nilikaa naye kwa muda wa miaka 3 nikajua ndo mke wangu na maisha tulishaanza yapanga,
sijui kama alikuwa anaigiza au alibadilika but alianza kuwa jeuri na kupotosha ahad, mwisho wa siku nilimpatia hela kama 2M akalipie kitu akaondoka nazo na kuniruka kuwa sijampa na kuniambia amenichoka na umasikini wangu namsingizia!!
baada ya maumivu na majonzi nikapata mwingine ambaye alifuta machozi kwa mapenzi ya kweli na kunihakikishia ni wangu milele!! sitaki kuamini kuwa baada ya mwaka na nusu, alianza kuingia kazini usiku gafla, mara kesho yake harudi et ameunganisha shift kufatilia officen kwao hakukuwa na shift ya usiku bt alikuwa analala gest au kwa wanaume!! pia alianza kuwa mlevi na dharau ki future sikumuhitaj tena ikabidi nimpotezee japo iliniuma saaana
ilinichukua muda nikawa sina girlfrnd pamanet nikawa nachukua wa hamu kwa hasira but ikatokea kupendana na girl
1 ambaye alikuwa anafanya kazi airpot na tulikuwa tuna kutana sana week end katika swiming pool,
nilikaa naye kama miaka 2, tulianza jenga maisha na mipango kunyooka, nilishamtambulisha kwa ndugu na jamaa pia!!
miezi mi 4 iliyopita alianza ku change kidogo, tulikuwa tupo huru kila mtu kupiga au kupokea simu ya mwenzi but mwenzangu akaanza kukataa, friends zangu wa karbu na watu waliokuwa wamemzunguka pia walianza kuniambie kuwa ana wanaume mara anakaa bar ovyo na kukutwa akitoka gest mara kwa mara!! nilikuwa namwamini sikuwasikia wala kuwaamini binadamu
siku ya Ijumaa ya Tarehe 30 mwezi huu sitaweza isahau kamwe, ilikuwa jioni nikiwa njian natoka officen alinipigia simu kuniambia kuwa anakuja kwangu nikamwabia is fine baada ya dk kama 35 nitakuwa nimefika!!
saa 1 mbele akanipigia kuwa atakuja mida ya saa 5 usiku coz anapitia kwa dada yake nikamwambi fine!!
saa 2 nilipigiwa simu na namba ngeni, ilikuwa sauti ya kiume iliyoniambia 'si unamwamini sana demu wako? njoo hapa (jina ba bar & gest) haraka
nikiwa kama sijaelewa hivi nikaamua kwenda, nikapga ile number jamaa akapokea akaniambia sitaki ujue mm nani naomba tu chat na fata maelekezo yangu, tuka chat mpaka akaniambie niende room ya jina la Morogoro theni nigonge au nishubiri hapo mpaka walio ndani watoke!!
nikampigia simu rafiki yangu akaja pale akashauri nigonge! kugonga sikuamini Mpenzi wangu alitota kunifungulia, nilihisi damu kusimama nikaondoka kwa hasira nikarudi home!!
mpaka muda huu na post hapa nashukuru mungu ni mzima nipo officen na bado napumua!! tangu ile juzi sijawasiliana naye naye pia yupo kimia!!
sitaki mnishauri nimsamehe but naomba mniambie kuna haja wa kumwamini tena msichana au nianje kuwachapa tu? au nikae kivyangu nipige hata nyeto maisha yaendeleee.....?