Inaniuma saana

Inaniuma saana

dah... Pole sana ndugu yangu...majarib mengine mazito kweli.
Siwezi kukushauri umsamehe. Rudi ktk sala na maombi ya kuomba mwenza wa maisha. Mungu atakujibu.

thanks but nakumbuka hata hao waliopita nilikuwa nachagua na fufatilia pia maombi meng nilikuwa napeleka kwa Mwenyezi ila yaliyotoke. daaaaaa
 
Hii dhana yakuchezea mwanamke huwa sielewagi!!!!!unamchezea how wakati kama kufanya mnafanya wote..........mwanaume anayejitambua pia hachezei mwanamke.


anachosema Billie ni sahihi kuna CHAPA chezea na CHAPA olewa..
Koo nyingine zilishabeba nuksi..mabinti hawaolew...
Ndo anazopita mtoa mada
 
Last edited by a moderator:
Hii dhana yakuchezea mwanamke huwa sielewagi!!!!!unamchezea how wakati kama kufanya mnafanya wote..........mwanaume anayejitambua pia hachezei mwanamke.

kweli miss strong ila wanawake ndo hutengeneza mazingira ya kuchezewa wenyewe!! kama yaliyonitokea mm siamini kama hao aliokuwa nao wote ndo wata oa!!
 
Ndio maisha ndugu yako hayana mteremko yamejaa misukosuko na misukosuko hio ndio inatupa nguvu,busara na hekima za kuwa watu tulio sasa...Kumbuka kuna watu wana matatizo kuzidi yako wewe..We shukuru mungu na uombe akupe mke mwema na inshallah dua zako zitasikika...

asante mama kwa ushauri ila mmmmmh sijui kama wapo wema kweli,, kama ni kusali hata hoa walioniumiza pia niliomba kwa mungu jamani
 
HA AH AA nipo ok but siwezi na sijazoea kupga mikas ovyo!!

Basi jifungie ndani usubiri kuokota makopo manake kuna siku demu atakamuliwa mbele yako ukiwa unatazama hadi wamtoe supu ya kwenye mfupa na hapo ndio utarukwa na akili
 
anachosema Billie ni sahihi kuna CHAPA chezea na CHAPA olewa..
Koo nyingine zilishabeba nuksi..mabinti hawaolew...
Ndo anazopita mtoa mada

inawezekana kweli ila ndo nikutane nao mimi tu jamani?? na hizi koo za kuoa zinajulikana vipi?
 
inawezekana kweli ila ndo nikutane nao mimi tu jamani?? na hizi koo za kuoa zinajulikana vipi?

usikute na wewe umebeba nuksi...kama vip kasafishe nyota..
Ni vigumu kufahamu CHAPA olewa coz vijana wengi tunapiga shortcut...
 
Basi jifungie ndani usubiri kuokota makopo manake kuna siku demu atakamuliwa mbele yako ukiwa unatazama hadi wamtoe supu ya kwenye mfupa na hapo ndio utarukwa na akili

hapo kitakachotokea najua hamtojiona wala kukijua wote!! ila ni sehemu ya maisha naamini maumivu yataisha, asante kwa ushaur pia
 
aiseee pole sana!,
badili vigezo na mashart unavyotumia kuwa na gf otherwise utaangukia mule mule..
 
usikute na wewe umebeba nuksi...kama vip kasafishe nyota..

mmmmh, hii nayo point bu nyota yangu Imesimamiwa na Mungu na ipo safi na bahati nzuri na ndugu wa karibu wameoa na kuolewa kwenye nux sidhani kama nipo
 
aiseee pole sana!,
badili vigezo na mashart unavyotumia kuwa na gf otherwise utaangukia mule mule..

hapana sinaga mashart, kwenye vigezo mbona sijakuelewa bado?
 
Wanawake wanalia, wanamme wanasaga meno, kweli human being are complex.
 
mmmmh, hii nayo point bu nyota yangu Imesimamiwa na Mungu na ipo safi na bahati nzuri na ndugu wa karibu wameoa na kuolewa kwenye nux sidhani kama nipo

sasa usiwe na haraka ya kufidia mpenzi,..take time...heal...
 
thanks but kumbuka ni mara 3 na wana wake 3 tofauti!! sasa nikikaa tena hata miaka 2 na huyu wa 4 si ndo atakuwa zaidi jamani?
Msema peke yake muongo! Hao mabint wote wa3 wakiitwa nao watakuwa na story zao kukuhusu.
Tuambie nawe unawakoseaga nini hao mabint? Haiwezekani daily utendwe wewe tu.
Kama unauhakika wewe ni innocent,basi unakosea kwenye kuchagua.
 
Pole kijana, hii kwa kizungu ndio wanaiita wrong timing.... hapa umekutana na wrong path ila nikuhakikishie usikate tamaa kwani nje kuna wanawake wenye mapenzi ya dhati wanaotafuta wanaume wa aina yako...Tena wapo wengi kuliko unavyofikiri ila bahati mbaya yako hujakutana nao.... Ushauri; jifunze mazingira ya kukutana na msichana wa future yako...jifunze tabia mbalimbali za wasichana ili iwe rahisi kugundua mabadiliko mapema. Mwisho tuliza akili na wasamehe wanawake wote kwani ukishawajumuisha kwenye matatizo ya hawa 3 itakuwia vigumu sana kumpata yule wa ukweli na kumwamini kwa jinsi ya ukweli wake.
 
anachosema Billie ni sahihi kuna CHAPA chezea na CHAPA olewa..
Koo nyingine zilishabeba nuksi..mabinti hawaolew...
Ndo anazopita mtoa mada

Wengine wana ndoto yakuolewa na fulani......mwache akatafute.
Wengine wataolewa uzeeni
 
Last edited by a moderator:
Nimechoka na hizi story za kutendwa kutendwa, Eleweni mnapaswa kubadilika ninyi wenyewe kitabia. Acheni uzinzi, mmekuwa waasi kwenye imani zenu! Mnafikiri mna akili nyingi sana kiasi cha kumuasi Mungu na kutumia akili zaidi kutafuta mwenza wa maisha.
Kuzini na hao wanawake bila kibali halali kutoka kwa Mungu ni kosa na ni dhambi.
Dhambi huleta mauti na hasara. ndio kama hiyo inayokupata.
Rudi kwa Mungu na pia acha uzinzi kama una nia ya dhati ya kumpata mwenza. Acha kutegemea akili zako pekee, maana hazisaidii, mwishowe ni majuto! Mungu hasemi uongo kamwe anaposema mke mwema atoka kwake.This goes both ways!
 
jamaa mkariii waweza vumilia fumanizi... hebu malizia baada ya kufungua mlango nini kikaendelea?
 
usikate tamaa ,jaribu ukaoe kijijini kwenu hadi na mimi naanza kuelewa falsafa ya wazee wetu kuoa vijijini kwao !!your angel was not born yet!!ila majority ya mademu wa hapa town ni malaya
 
Back
Top Bottom