Man Rody
JF-Expert Member
- Aug 4, 2022
- 1,263
- 3,001
Simp culture, mkuu Shimba ya Buyenze tupe busara zako kidogo apa.
Kumpata huyo mwema sasa!!Vijana wangu oeni
Ukipata mke mwema utafurahia Dunia
Ukimpata mcharuko utakuwa Mwanafalsafa.
Ukiona hivyo ujue tatizo ni la mwanaume. Mwanaume kwanini utawaliwe? JiulizeWakuu.
Usiruhusu kamwe mwanamke akawa juu kimaamuzi,
Now days kumekuwa na wimbi la wanawake wakitaka nusu kwa nusu na hii wameileta katika familia.
Unakuta kuna nyumba mwanamke utafikiri yeye ndo mwanaume Yaani Muda wote Muongeaji Yeye,mfanya maamuzi yeye., Nafasi ya mwanaume haionekani tena.
Yaani mwanamke anapangia hadi upande wa mwanaume wafanyiwe nini na nini kisifanyike
Ujinga mkubwa mwanaume ulioa au single kidada au mwanamke yoyote kukatawala wewe na familia yako..
Vijana kataa Ndoa
Ndoa Utumwa.
Ndoa Ujinga.
Ndoa ni Upotevu wa mali na muda.
Ujinga sana aiseeeMwanaume kutawaliwa na Mwanamke ni kosa la Mwanaume husika,
Ukisimama kama Mwanaume hakuna atakaye kudharau au kukutawala,
Tatizo siku hizi kumekua na Wanaume Legelege sana halafu wanakuja kulia lia hapa JF
Simama kama Mwanaume uone kama kuna mtu atajaribu kukutawala,
If u don't change u will never get nowhere with that.
Sasa kama ndoa ni upumbuvu hiko kizazi kitaendeleaje?Ndoa ni upumbavu tulikaririshwa zama zimepita akili ishakuwa kubwa ndo tunaikataa ndoa
Ndoa ilikuja na utu kma utu haupo kataa ndoa ni utapeliTofauti kati ya binadamu na mnyama ni ndoa. Ndoa iwe ya kidini, kimila au kiserkali inahalalisha mwanamke na mwanaume kuishi pamoja na kupata watoto. Hatuwezi kuishi kama wanyama na kuzaana kama wanyama bila kutambua kuna baba, mama, dada, kaka, na ndugu ambao hatuwezi kujaamiiana na kuzaa. Ndoa inatutofautisha na wanyamama, kwamba hata kama una nyegezi hizo nyegezi unazielekeza kwa mkeo. Ukioa na kuzaa mnawatunza watoto pamoja. Mpaka sasa tunaingiwa na changamoto za wale wanaozaa nje ya ndoa na kushindwa kutumiza majukumu yao kutunza watoto. Ndoa ni muhimu na ni nzuri, lakini chagua mwenza anayekufaa na kukubali.
Hakuna mtoto wa zinaa,,mtoto ni mtoto wewe mbona unakuwa mshambaSasa kama ndoa ni upumbuvu hiko kizazi kitaendeleaje?
Je tuwe na watoto wa zinaa