Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,812
- 59,391
by the time unajibu hilo
umeshadanganyika.. u see??????
Nouwww!Nakubali ili tu yaishe!
by the time unajibu hilo
umeshadanganyika.. u see??????
nouwww!nakubali ili tu yaishe!
Boss twende Club Continental kwenye khanga moja kwenye laki sio pesaafter kudanganyika..
boss twende club continental kwenye khanga moja kwenye laki sio pesa
Ahaa ahaa halafu na home boy Fidel sidhani kama huwa anakosawe huwa unakaa upande upi?
Mimi huwa nakwenda sometimes
kuchagua mitikisiko ya pwani lol
after kudanganyika..
Ahaa ahaa halafu na home boy Fidel sidhani kama huwa anakosa
Baada ya kuamua kuwadanganya!
Lizzy unajua tunakusubiria na Boss tukupe offer,Boss atakwambia offer ya kwenda wapiBaada ya kuamua kuwadanganya!
Lizzy unajua tunakusubiria na Boss tukupe offer,Boss atakwambia offer ya kwenda wapi
Dah! Hii mpya kwangu sijaisikia kabisamambo yote jumatano maisha club
mitikisiko ya pwani kutoka o bay masaki msasani n.k...
Naona lizzy akisikia hilo jina kwishnei kabisanataka nimpeleke mahaba beach akanidanye vizuri....lol
Dah! Hii mpya kwangu sijaisikia kabisa
The Boss nakutamani....!please naomba unidanganye....
Lizzy unajua tunakusubiria na Boss tukupe offer,Boss atakwambia offer ya kwenda wapi
Offer sipendi mie...naogopa kudaiwa!
The Boss nakutamani....!
hudaiwi
na usipo enjoy unalipwa fidia ya usumbufu....
You know??Mmh owkey!Nwyz chagua wewe maana ndo unajua wapi pazuri!i know that...
sasa chagua mahaba beach ya kunduchi
au mapenzi beach zenji.....
You know??Mmh owkey!Nwyz chagua wewe maana ndo unajua wapi pazuri!