The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
I feel like groaning at you l.o.lBi??Naaaaah!Just special!!
I feel like groaning at you l.o.lBi??Naaaaah!Just special!!
I feel like groaning at you l.o.l
Sasa Lizzy unataka kubishana mimi na The Boss wee si umeona Boss amesema "Wanaume tunadanyika kwa makusudi tunaamua kudanganyika"Puhhleeez!Mnadanganyika kuliko hata wanawake..hata mkijua kabisa mnadanganywa bado mnadanganyika kwasababu hamna ujanja!
Hivi Sisy ukinidanganya nakuwa nimeamua tu unidanganye yaani nafanya makusudi tu usibishe sawa lolzJamani!Kwanini my dear brah?
Puhhleeez!Mnadanganyika kuliko hata wanawake..hata mkijua kabisa mnadanganywa bado mnadanganyika kwasababu hamna ujanja!
Sasa Lizzy unataka kubishana mimi na The Boss wee si umeona Boss amesema "Wanaume tunadanyika kwa makusudi tunaamua kudanganyika"
usikatae banaa sisi kudanganyika sio nature yetu yaani not our mother nature kabisa l.o.l
Hivi Sisy ukinidanganya nakuwa nimeamua tu unidanganye yaani nafanya makusudi tu usibishe sawa lolz
Ahaaaa ahaaaa naona mtu anaingia kwenye reli muda si mrefumwanamke akisema hiyo puhleeeez huwa nakuwa turn on big time....
mwanamke akisema hiyo puhleeeez huwa nakuwa turn on big time....
Hivi kwanini watu huwa wanasema "I lied to you because i love you" au ndio kujitetea hukoRIGHT!Ngoja nitulie msije mkajanjaruka!Kwa hisani ya my dearest brah na mzee mzima The Boss nakubali kwamba hua mnatuachia tuwadanganye maana mnatupenda sana!
tunadafaidika tukidanganywa..
it benefits us....
Kwasababu inaonyesha kujali.."sikukwambia kukulinda" is better than "nilisahau" au "sikujua unajali".Hivi kwanini watu huwa wanasema "I lied to you because i love you" au ndio kujitetea huko
So nikikwambia I lied to you because i love you utanisamehe??Kwasababu inaonyesha kujali.."sikukwambia kukulinda" is better than "nilisahau" au "sikujua unajali".
Hehehehe!Ahh wapi!Ntakujibu kwamba na mimi sikusamehi ili usirudie tena kwasababu nakupenda!So nikikwambia I lied to you because i love you utanisamehe??
Ahaaa ahaaa kumbuka kuwa "Sikukwambia kukulinda" hapo kwenye bluu utakuwa tu unataka kunikomoa makusudi tuHehehehe!Ahh wapi!Ntakujibu kwamba na mimi sikusamehi ili usirudie tena kwasababu nakupenda!
Ahaaaa ahaaaa naona mtu anaingia kwenye reli muda si mrefu
Hehehehe!Ahh wapi!Ntakujibu kwamba na mimi sikusamehi ili usirudie tena kwasababu nakupenda!
Ahaaa ahaaa kumbuka kuwa "Sikukwambia kukulinda" hapo kwenye bluu utakuwa tu unataka kunikomoa makusudi tu
Nimeamua kuwadanganya kwamba nadanganyika na mmedanganyika!yaani live anaingizwa kwenye reli huku anaona...lol