dumejm
JF-Expert Member
- Feb 18, 2016
- 1,174
- 841
Inakuaje hii, demu apokei simu wala kujibu text baada ya kumtia sound Kuna demu flan nimemuelewa kinyama hapa kitaa.
Nilijitahidi nikapata contact zake tukawasiliana na tumefahamiana vyema tu sasa cha ajabu ni kwamba tangu ni mtie sound hajajibu na hataki hata kujibu text wala kupokea calls zangu hii maana yake nn wakuu
Nilijitahidi nikapata contact zake tukawasiliana na tumefahamiana vyema tu sasa cha ajabu ni kwamba tangu ni mtie sound hajajibu na hataki hata kujibu text wala kupokea calls zangu hii maana yake nn wakuu