kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,347
- 12,683
bila katiba mpya, akiondoka tu na mishetani nayo inarudi tena kwa kasi ya ajabuAlidhani mtu kama wewe utamtia nguvu kwa kumshukuru kwa mema anayotenda kipindi kaanza kurekebisha nchi hadi sasa, kumbe yale ya upande wa pili ndio unashabikia!!!...akachoka akaona aanze kufanya tu kwa moyo Mungu atamlipa maana hafanyi kuifurahisha mishetani.
Tukisema usikojoe hapa!....tunamaanisha hivyo...ukikojoa tukikunyonga usije ukaanza kusema mbona adhabu ni kubwa, swala wewe ukifa hicho kitendo OVU hakitakuwepo na kikijirudia inamaana mtendaji yupo radhi kufa basi