Inabidi Watanzania tumuombe msamaha Rais Magufuli

Jaman tumuombee wapi sasa wakati katukosea sisi jaman alafu na time inavyokimbia nasubiri 2020 sjui atakua anamsakizia nani kama 2015 yote yalikua ni utawala uliopita kila akili ni nchi imeharibiwa na wenzie utadhani miaka 20 alikua anaishi nje ya nchi.... ogopeni sana kuwa na baba ndani ya familia nashindwa kufanya maendeleo kwa kuleta visingizio eti mjomba mara baba mkubwa au shangazi wamefanya hili mara lile ili tusiendelee.... na baba wa kulia matatzo kwa wanae kila mara apate huruma ya kundelea kuitwa baba huyo haifai familia yenu.... NATABIRI 2020 ataomba kula kwa namba tu nasio mengne mfn nimetumbua watu 2000 nimepandisha maisha kutoka 7.9 mpk 7.2.... manji alikua na bilion 80 sasa ana bilion 1 muda utaongea wana jamvi
 
Sasa huyu baba mpya ndio anawavalisha suit?

Hatuvalishwi suit, bado tuna nguo zetu za mitumba alizotuachia baba msafiri, lakini sasa hakuna ubaguzi, kama mitumba wote tutavaa, lakini kuna matumaini ya kuvaa suit kwa mtu yeyote akifanya kazi kwa NGUVU, Kwani kuna fair competition, kwa mfano, wewe unafanya biashara ya haki, unaingiza mali zako , unalipa ushuru, watoto wanaopendelewa wanaingiza mali zao hawalipi chochote, biashara zao zinaendeshwa kwenye nyumba za serikali, hawalipi kodi ya aina yeyote, na baba hasemi kitu, watoto ni wake wote, nyumba ni zetu wote, nchi ni yetu wote, mtoto gani ataendelea wewe mwenye kulipa ushuru unayebaguliwa na baba ama yule anayependelewa na baba na ana yetu Mia Mali ya watoto wote bila ya kulipa? Huu ni mufano mmojawapo. Hakuna kitu kibaya kama ubaguzi wa aina yeyote ule. Tukijuwa mali ya Tanzania ni ya Watanzania wote, lakini kiongozi anawatenga raia wengi kwa uongozi wake mbaya, na kuwa kiongozi wa watu wachache kutumia mali za wote bila ya kufanya kazi na Kufumbia macho maovu ni crime against humanity.
 
MAJIBU:
-Chama tawala kipo ni CCM
-Vyama vingi vipo mfano CHADEMA, CCM, CUF nk
-Ila kuamini kama kuna vyama vya upinzani inabidi mtu awe na akili kama ZAKO.

Umekosea, Zitto ana akili za ujanja za kuwafanya watu waamini ana akili,. Utamugunduwa tu kama una akili za kusoma tabia za watu. Zitto ni tapeli.
 
Jaman tumuombee wapi sasa wakati katukosea sisi jaman alafu na time inavyokimbia nasubiri 2020 sjui atakua anamsakizia nani kama 2015 yote yalikua ni utawala uliopita kila akili ni nchi imeharibiwa na wenzie utadhani miaka 20 alikua anaishi nje ya nchi.... ogopeni sana kuwa na baba ndani ya familia nashindwa kufanya maendeleo kwa kuleta visingizio eti mjomba mara baba mkubwa au shangazi wamefanya hili mara lile ili tusiendelee.... na baba wa kulia matatzo kwa wanae kila mara apate huruma ya kundelea kuitwa baba huyo haifai familia yenu.... NATABIRI 2020 ataomba kula kwa namba tu nasio mengne mfn nimetumbua watu 2000 nimepandisha maisha kutoka 7.9 mpk 7.2.... manji alikua na bilion 80 sasa ana bilion 1 muda utaongea wana jamvi

Kakukosea tu kama wewe ulikuwa mvunja sheria. Lakini kama wewe ulikuwa si mpiga deal, na una heshimu sheria na sio mudhulumaji wa wengi wa kutumia njia ya ujanja kuiba mali za wengi utapenda vitendo vyake vya kuisafisha Tanzan iwe ya Watanzania wote. Inategemea maisha gani uliyokuwa ukiishi.
 
Nimejaribu muda sasa kuchunguza jinsi kiongozi wetu mkuu wa nchi alivyo na hasira mara zote aongeapo na sisi wanachi wake ni kama kuna kitu kikubwa sana kipo ambacho sisi wa tz tulimkosea maana
Najiuliza 1)tulipata tetemeko akaongea nasi kwa hasira sana; kwani mimi ndo nilileta tetemeko? Najua wengi mnakumbuka speech ile.
2)Watanzania tuna uwawa msumbiji bado yuko kimya!
3) juzijuzi tu anasema tukikamatwa huko nje na madawa tunyongwe wewe hebu baba yako anasema ukikamatwa kokote kule unyongwe! Si dariri nzuri kabisa maana yake baba yako kakuchoka
4) tunapata janga la njaa lakini baba yeye bado yuko tayari tufe eti hakuna kutangaza njaa kutangaza tu??
Jamani list ni ndefu mno! Nauliza tulimkosea nini huyu baba yetu sisi?? Hivyo nashauli kama watoto tuulizane kisha tumwombe msamaha labda chuki hii kali dhidi yetu itaisha!


Ana hasira kwa sababu he knows kuna viongozi wa juu walioguswa na utumbuaji majipu na uuzaji madawa ya kulevya ambao wanataka kuharibu jitihada za rais wetu kipenzi na Malaika wetu. Hivyo anatukemea kuonyesha kuwa yuko serious na hii issue. atayekaidi atakiona cha mtema makuni.
 
Ana hasira kwa sababu he knows kuna viongozi wa juu walioguswa na utumbuaji majipu na uuzaji madawa ya kulevya ambao wanataka kuharibu jitihada za rais wetu kipenzi na Malaika wetu. Hivyo anatukemea kuonyesha kuwa yuko serious na hii issue. atayekaidi atakiona cha mtema makuni.

Tunamuombea Mungu na tuko nyuma yake. Hawa Viongozi wasindwe na tamaa zao za kuliangamiza taifa hili. MUNGU hawezi kuluhusu
 
Nimejaribu muda sasa kuchunguza jinsi kiongozi wetu mkuu wa nchi alivyo na hasira mara zote aongeapo na sisi wanachi wake ni kama kuna kitu kikubwa sana kipo ambacho sisi wa tz tulimkosea maana
Najiuliza 1)tulipata tetemeko akaongea nasi kwa hasira sana; kwani mimi ndo nilileta tetemeko? Najua wengi mnakumbuka speech ile.
2)Watanzania tuna uwawa msumbiji bado yuko kimya!
3) juzijuzi tu anasema tukikamatwa huko nje na madawa tunyongwe wewe hebu baba yako anasema ukikamatwa kokote kule unyongwe! Si dariri nzuri kabisa maana yake baba yako kakuchoka
4) tunapata janga la njaa lakini baba yeye bado yuko tayari tufe eti hakuna kutangaza njaa kutangaza tu??
Jamani list ni ndefu mno! Nauliza tulimkosea nini huyu baba yetu sisi?? Hivyo nashauli kama watoto tuulizane kisha tumwombe msamaha labda chuki hii kali dhidi yetu itaisha!


Tena bora aendelee kukaa kimya maana akifungua hicho kinywa ni shida......................
sitashangaa kama akisema kwani huko Msumbiji niliwatuma huko? kwanini msifanye biashara kkoo..........

Ana hasira sababu anajua hakupata kura za wananchi.......... yeye badala ya kujenga anabomoa
 
Nimejaribu muda sasa kuchunguza jinsi kiongozi wetu mkuu wa nchi alivyo na hasira mara zote aongeapo na sisi wanachi wake ni kama kuna kitu kikubwa sana kipo ambacho sisi wa tz tulimkosea maana
Najiuliza 1)tulipata tetemeko akaongea nasi kwa hasira sana; kwani mimi ndo nilileta tetemeko? Najua wengi mnakumbuka speech ile.
2)Watanzania tuna uwawa msumbiji bado yuko kimya!
3) juzijuzi tu anasema tukikamatwa huko nje na madawa tunyongwe wewe hebu baba yako anasema ukikamatwa kokote kule unyongwe! Si dariri nzuri kabisa maana yake baba yako kakuchoka
4) tunapata janga la njaa lakini baba yeye bado yuko tayari tufe eti hakuna kutangaza njaa kutangaza tu??
Jamani list ni ndefu mno! Nauliza tulimkosea nini huyu baba yetu sisi?? Hivyo nashauli kama watoto tuulizane kisha tumwombe msamaha labda chuki hii kali dhidi yetu itaisha!
Ukibeba madawa utanyongwa huo ndio ukweli.
Swala la Msumbiji limeshughulikiwa vyema tuu si lazima Rais aongee....
Tanzania hakuna baa la njaa kungekuwa na baa la njaa wala usingelipost humu
 
Huenda mwandishi anatoka kule ambako nusu ya eneo la kijiji linatumika kulima yale majani.
We umemsikiliza baba akiongea? Tatizo kubwa naye ni hilo hilo la r na l. Kwahiyo na yeye unataka kusema anahusika kulima hilo jani huko kijijini kwake?
 
Nimejaribu muda sasa kuchunguza jinsi kiongozi wetu mkuu wa nchi alivyo na hasira mara zote aongeapo na sisi wanachi wake ni kama kuna kitu kikubwa sana kipo ambacho sisi wa tz tulimkosea maana
Najiuliza 1)tulipata tetemeko akaongea nasi kwa hasira sana; kwani mimi ndo nilileta tetemeko? Najua wengi mnakumbuka speech ile.
2)Watanzania tuna uwawa msumbiji bado yuko kimya!
3) juzijuzi tu anasema tukikamatwa huko nje na madawa tunyongwe wewe hebu baba yako anasema ukikamatwa kokote kule unyongwe! Si dariri nzuri kabisa maana yake baba yako kakuchoka
4) tunapata janga la njaa lakini baba yeye bado yuko tayari tufe eti hakuna kutangaza njaa kutangaza tu??
Jamani list ni ndefu mno! Nauliza tulimkosea nini huyu baba yetu sisi?? Hivyo nashauli kama watoto tuulizane kisha tumwombe msamaha labda chuki hii kali dhidi yetu itaisha!
kwa bongo hii hata angetawala issa bin msriam bado mngemkosoa vikali Go magu Go hawa ndio binadamu
 
Kuficha ficha wakati wote si vizuri-JPM hafichi anakwambia tu ukweli na mimi naungana nae kwa hili ukikamatwa na madawa unyongwe, tena wakunyonge mapema.
Kuhusu wanakagera wanajuana wanataniana yeye anawafahamu na wao wanamfahamu lakini licha ya utani kweli serikali haikuleta tetemeko na haiwezi kuleta tetemeko.
Wanaolia njaa nao wakumbuke serikali haijaleta njaa.
Mwenyezimungu pekee ndiye wa kuombwa na kutegemewa magufuli ni kiumbe tu
 
Siwezi kufanya huu upumbafu hata siku moja. SINA BABA WA NAMNA HIYO
LIBABA GANI LINAWANYIMA WANAE MIKOPO YA ELIMU YA JUU?
Mtoa uzi acha ujinga ww. CCM SIYO BABA YABGU SIYO MAMA YANGU
 
Nimejaribu muda sasa kuchunguza jinsi kiongozi wetu mkuu wa nchi alivyo na hasira mara zote aongeapo na sisi wanachi wake ni kama kuna kitu kikubwa sana kipo ambacho sisi wa tz tulimkosea maana
Najiuliza 1)tulipata tetemeko akaongea nasi kwa hasira sana; kwani mimi ndo nilileta tetemeko? Najua wengi mnakumbuka speech ile.
2)Watanzania tuna uwawa msumbiji bado yuko kimya!
3) juzijuzi tu anasema tukikamatwa huko nje na madawa tunyongwe wewe hebu baba yako anasema ukikamatwa kokote kule unyongwe! Si dariri nzuri kabisa maana yake baba yako kakuchoka
4) tunapata janga la njaa lakini baba yeye bado yuko tayari tufe eti hakuna kutangaza njaa kutangaza tu??
Jamani list ni ndefu mno! Nauliza tulimkosea nini huyu baba yetu sisi?? Hivyo nashauli kama watoto tuulizane kisha tumwombe msamaha labda chuki hii kali dhidi yetu itaisha!
Kosa lenu ni kumpigisha push-ups na kuzunguusha mikono wakati wa kampeni.
 
224b717ec3650e5faa92c9a913c317f3.jpg


Kwa kula pesa za rambirambi kagera au?

Au una Arosto?
mwenye nyumba hii akapimwe akili. Huwezi kufanya jambo kama hili kwenye nyumba kama hii. VINGINEVYO atakuwa analima bangi au anaua wananyamapori.
 
Ana hasira kwamba hakupata kura za kutosha mpaka ikabidi apewe ushindi wa mezani.
Tumuache andelee na hasira zake ili ifikapo 2020 awe anachukiwa zaidi na awe hajafanya lolote la maana zaidi ya kukimbizana na wapinzani.
Ushindi wa mezani unamuuma sana anashindwa kujizuia kuficha hasira yake.
 
Back
Top Bottom