Inabidi Watanzania tumuombe msamaha Rais Magufuli

MAJIBU:
-Chama tawala kipo ni CCM
-Vyama vingi vipo mfano CHADEMA, CCM, CUF nk
-Ila kuamini kama kuna vyama vya upinzani inabidi mtu awe na akili kama ZAKO.

Hahahahahaha mie navyoona CCM ndiyo chama cha Upinzani na CDM ndiyo chama tawala.

Mambo wanayofanya Watawala as if wao ndiyo Chama Cha Upinzani ni aibu.Baada ya miaka mitano tutakutana na Tanzania ya Vi-wonder
 

Akikujibu njoo nikupe Dompo.Hayo matakataka yanaitwa Makaburi hayafukuliwi.Sana kinachofanyika ni kuwasafisha Wapinzani kwamba ni bora zaidi kuliko Chama Cha Masogange.

Like KABURI la Kivuko kibovu nasikia nimependa kuzikwa Lugalo ili kisionekane kabisa na huyo Marehemu akiguswa tu basi Jeshi lifanye yake
 
c.c Mama Obama
 
Sasa huyu baba mpya ndio anawavalisha suit?
 
Pumbaaaaasas
Huyo the so called Mama Obama ufahamu wake ni mdogo!!! Anadhani JPM atakuwa bora kwa kulinganisha na madhaifu ya Kikwete!! Fuatilia posts zake nyingi tatizo lake yeye ni Kikwete... unajua kila utawala kuna waathirika! Huyu anaonesha wazi ni muathirika wa utawala wa JK na ndio maana kila penye mada ya JPM yeye ataleta habari za Kikwete!!! Anachosahau ni kwamba JK na JPM wote ni marais kutoka CCM wakiongoza serikali zilizojaa ufisadi since then!!!
 
Wewe pia ni shida kwake maana humuelewi.
 
Hata mimi najiuliza, no answer
 
Kuficha ficha wakati wote si vizuri-JPM hafichi anakwambia tu ukweli na mimi naungana nae kwa hili ukikamatwa na madawa unyongwe, tena wakunyonge mapema.
Kuhusu wanakagera wanajuana wanataniana yeye anawafahamu na wao wanamfahamu lakini licha ya utani kweli serikali haikuleta tetemeko na haiwezi kuleta tetemeko.
Wanaolia njaa nao wakumbuke serikali haijaleta njaa.
 
...JK alipokkuwa Mkuu,JPM alikuwa mmoja wa washauri wake.
 
Kosa mlimnyima kura pamoja na pushapu zote mkamtosa.,kwa hisani ya Lubuva akachomoka .Ngoja awanyooshe na nyinyi ,nyie si mlimpigisha pushapu halafu mkamtosa !!! Zamu yenu sasa kupiga pushapu za kila aina na kuishi kama mashetani.
Just kidding
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…