Acheni ushamba! Hakuna mwanajeshi anayeingia field na mabunduki yote hayo mnazugwa tu hapo na kutishwa baada ya jeshi kuwa tawi la ccm! Watanzania siyo wajinga tena waambieni hao watengeneza script za kijinga hivyo.Jeshi liko imara Hao Delta Force hawawezi kutia maguu nchi hii wanajua hawatarudi
View attachment 3525045