Naomba wenzangu kama mkipata nafasi mngejaribu kuangalia documentary movie kuhusu uvuvi wa smamaki mkoani Mwanza. Mimi nieiangalia na kuna mengi sana nimegundua yanatakiwa yajadiliwe
Nchi yetu utafikiri haina uongozi,yaani utafikiri bado tuko katika karne za kale sana ambazo zilikuwa hazijali kutafuta ufumbuzi wa matatizo yanayowakabili raia wake.Nimetishika sana mambo niliyoyaona mle ndani hii inaonyesha jinsi gani JK alivyorithi matatizo mengi kutoka kwa rais BM amabaye hakutaka kuyatatua katika kipindichake cha uongozi.
Kama kuleta mabadiliko ninaomba rais JK aangalie kwa kina zaidi biashara nzima ya samaki ziwa victoria badala ya kuachia wahindi wachache pamoja na warusi wakiendelea kunufaika kwa kupitia migongo ya wazawa.
Inatisha na kuhuzunisha sana naombeni muitafute hiyo document ambayo hivi sasa imeishatoka kwenye DVD. Kazi kwenu wakubwa.
Peace!!!
Willo
Nchi yetu utafikiri haina uongozi,yaani utafikiri bado tuko katika karne za kale sana ambazo zilikuwa hazijali kutafuta ufumbuzi wa matatizo yanayowakabili raia wake.Nimetishika sana mambo niliyoyaona mle ndani hii inaonyesha jinsi gani JK alivyorithi matatizo mengi kutoka kwa rais BM amabaye hakutaka kuyatatua katika kipindichake cha uongozi.
Kama kuleta mabadiliko ninaomba rais JK aangalie kwa kina zaidi biashara nzima ya samaki ziwa victoria badala ya kuachia wahindi wachache pamoja na warusi wakiendelea kunufaika kwa kupitia migongo ya wazawa.
Inatisha na kuhuzunisha sana naombeni muitafute hiyo document ambayo hivi sasa imeishatoka kwenye DVD. Kazi kwenu wakubwa.
Peace!!!
Willo
Last edited by a moderator: