Kuhusu suala la silaha sijui liko vipi, ila mengine yaliyosemwa kwenye hiyo filamu ni ukweli mtupu! Mimi nimeshuhudia wananchi wa Bukoba wakiuziwa hayo mapanki!
sio siri inabidi tuombe kwa ajili ya nchi yetu! Yaani hawa viongozi wetu wanasafirisha samaki wetu wazuri halafu wanatuletea samaki wenye mionzi!
sio siri inabidi tuombe kwa ajili ya nchi yetu! Yaani hawa viongozi wetu wanasafirisha samaki wetu wazuri halafu wanatuletea samaki wenye mionzi!