Karibu Arusha lakini mitaa hiyo ukijipindua kidogo tu...... Karibu mkuu lakini umechelewa kutoa taarifa ningeorganise tuje tukujulie hali lakini next time mkuu.Goldenrose ila naenda cafeteria naw kuna watu nakutana nao hapo
Nimekuja na gari ya tours na naondoka nayo kesho tena kuna wageni walikuja huko kwetu tukawa tunawarudishamnh kimya kimya vip unaogopa onana na wana jf wenzio.................unaondoka na basi gani tukuibukie hapo hapo stendi mradi tupeane mkono wa kheeri tu
jamani mbavu zangu mie!bado naitafuta mantiki,ngoja nianze na swali..mbona taarifa kama hizi hukutoa wakati wa kwenda? Au msaada wa nauri unaitajika..?