MPAMBANAJI.COM
JF-Expert Member
- Mar 2, 2011
- 712
- 331
although the situation my prevend but not in such a way...
although the situation my prevend but not in such a way...
taarifa ya mama Sensoalthough the situation my prevend but not in such a way...
Patrol wanazozifanya siku hizi ni za kutafuta watu wa kuwatoa mshiko. Si unaona wale jamaa wa 'tigo' wanavyorandaranda kutafutra daladala zinazokatisha njia badala ya kuwatafuta majambazi!hivi ule utaratibu uliokuwepo wa kila siku jioni mapolisi wanatawanywa jioni mitaani kwa ajili ya doria bado upo?...........maana kule mitaa ya O'bay, Upanga Seaview ndio kabisaa vibaka walikuwa hawagusi kule.......
Man mbona nashindwa kukuelewa? wizi ni wizi tu, kama wao hawaruki ukuta na kuiba kama ulivyosema wanakupiga risasi mtaani hausomi habari mbalimbali tafuta murder rate huko uone kuna sehemu nyingine watu wanaopigwa risasi tu hadi kufa ni zaidi ya 40 kwa mwezi, na hata wewe ukibahatika labda kupelekwa New York kikazi mwenyeji wako atakawambia kuna sehemu usiende wanaita no go Areas!
Man mbona nashindwa kukuelewa? wizi ni wizi tu, kama wao hawaruki ukuta na kuiba kama ulivyosema wanakupiga risasi mtaani hausomi habari mbalimbali tafuta murder rate huko uone kuna sehemu nyingine watu wanaopigwa risasi tu hadi kufa ni zaidi ya 40 kwa mwezi, na hata wewe ukibahatika labda kupelekwa New York kikazi mwenyeji wako atakawambia kuna sehemu usiende wanaita no go Areas!
...Mhhh! Dar tambarare!!!!...polisi magamba wako busy kuwawinda viongozi na wafuasi wa CDM huku ujambazi ukizidi kushamiri!!!!