ma2mbo
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 697
- 326
jaman nimeugua ghafla coz kila nijaribiapo kuingia jf naambiwa oooh maimtainance basi nikawa sina raha nawamic wote hadi nimepungua. .nawapenda jaman n nimerudi sasa bby nasty
we ni member mpya!?
jaman nimeugua ghafla coz kila nijaribiapo kuingia jf naambiwa oooh maimtainance basi nikawa sina raha nawamic wote hadi nimepungua. .nawapenda jaman n nimerudi sasa bby nasty
Yereeeeeeeeechelseeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeea
Wakati kumisiana kunaanza, unakumbuka mimi na wewe tulikua tukielekea kunako muafaka fulani ?ambao haukufikia hitimisho! Kumbuka kipindi unaumwa jino, wasemaje tuufufue mjadala ule tena ?
we ni member mpya!?
Beibe nasty! Yaan nlikumis hadi nlikuwa natetemeka wakati wote! Umeniloga vibaya wewe acha tu.
nilimiss mwenyewe, maana hujichekesha.
Mpaka niwasiliane na ur agent b52
Hata hivyo ni shwari pia!
Nitamstua !
Bt destination ni ileile kwa kupanda direct bus, na transit (via) bus !
Subiri tuone
Mie nna maneno? Sina!
Nnasubiri , bt refar subira inaendana na za kuiva!
Si unajua kuna kusubiri zikaiva kupitiliza ?
Tahamaki hata kwa juice hazifai tena !
Kwako sitegemei !