mchonga
JF-Expert Member
- Dec 3, 2006
- 1,233
- 248
Shirika la fedha la kimataifa (IMF) limesema matumizi ya serikali ya Tanzania yamekuwa yakiongezeka kwenye mambo ambayo sio maendeleo ya kama vile kulipa mishahara.Akizungumza na jijini Dar es Salaam, mwakilishi wa IMF nchini Bw John Wakeman Linn amesema kuanzia mwaka 2007/2008 mapato ya ndani yalipungua kutoka 17% ya pato la taifa hadi chini ya 15% mwaka 2009/2010.Wakati pato la taifa likipungua, hali inaonyesha matumizi ya serikali yakliongezeka mwaka 2007/2008 toka 18% hadi 28% ya pato la taifa mwaka 2009/2010.Pia alisema tanzania imeendelea kukopa ZAIDI ili kugharamia matumizi haya ya uendeshaji!
TUJIULIZE: Hizi fedha zinakwenda wapi,nani analipwa hii mishahara minono? Na je serikali ya CCM inasemaje kuhusu hili.
JE NI KWANINI NCHI WAHISANI WALIPUNGUZA MSAADA WA KU FINANCE BUDGET YETU YA 2010-2011 KWA TAKRIBANI BILLION 300? NA SERIKALI IKAAMUA KUKOPA PESA KWENYE MABENKI YA NDANI?
SORCE: Tanzania and the IMF -- Page 6 of 10
TUJIULIZE: Hizi fedha zinakwenda wapi,nani analipwa hii mishahara minono? Na je serikali ya CCM inasemaje kuhusu hili.
JE NI KWANINI NCHI WAHISANI WALIPUNGUZA MSAADA WA KU FINANCE BUDGET YETU YA 2010-2011 KWA TAKRIBANI BILLION 300? NA SERIKALI IKAAMUA KUKOPA PESA KWENYE MABENKI YA NDANI?
SORCE: Tanzania and the IMF -- Page 6 of 10