Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,720
- 218,269
Hii ndio Taarifa mpya iliyotufikia hivi punde.
Toa Maoni yako
======
Mhariri wa Takwimu wa kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), Halili Letea amesema ripoti ya Shirika la fedha duniani (IMF) limetabiri kwamba mpaka 2028, Tanzania itaongoza kiuchumi miongoni mwa nchi za Afrika Mashariki.
Halili amesema kuwa ripoti imekadiria kuwa na Pato la Taifa thamani yake itakuwa Dola 136 bilioni (sh340 trilioni).
(Imeandaliwa na Elizabeth Joachim)
Mwananchi
Toa Maoni yako
======
Mhariri wa Takwimu wa kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), Halili Letea amesema ripoti ya Shirika la fedha duniani (IMF) limetabiri kwamba mpaka 2028, Tanzania itaongoza kiuchumi miongoni mwa nchi za Afrika Mashariki.
Halili amesema kuwa ripoti imekadiria kuwa na Pato la Taifa thamani yake itakuwa Dola 136 bilioni (sh340 trilioni).
(Imeandaliwa na Elizabeth Joachim)
Mwananchi