Imetokea loliondo

Mediaman baada ya kunukuu mistari mingi ya biblia na kuona haimuungi mkono, sasa amegeukia viongozi wa kisiasa hata kufikia kumtaja Obama amsaidie. Naona wale wapinzani wa babu wamekamatwa pabaya, ni kama kusema pamoja na kufunga na kumuomba mungu wao amdhuru babu hakuwasikiliza. Hii ni kusema kwamba mungu wa babu huenda ndie Mungu wa kweli maana amelifunga anga lote na miungu minginehaifurukuti, mfano wa alivyofanya Eliya hapo walipowakusanya wana wa Esraeli mlimani.
Watu mnaojiita wa kiroho mnatupa nafasi sisi watazamaji kwamba mungu wenu huenda amesafiri ama amelala na toka mnampigia kelele juu ya babu hasikii. Jitahidini huenda akawasikia atakapozinduka usingizini.
Mungu wa Israel, mungu wa manabii watakatifu, tunaemwabudu kwa jina la Yesu, amezungumza katika kitabu cha zaburi ya 103 kusema, yeye ndie anaetusamehe maovu yetu na kutuponya magonjwa yetu yote. Sasa hakuna mnalowezafanya kwa yule aliyemsamehe na kumponya, maana hakufanya hivyo kwa sheria bali kwa neema yake.
Mtataka kuupiga mchuguu teke hata lini?
.

Ewe shabiki wa babu uliyejawa upofu. Tutaendelea kupaza sauti hetu hata Yesu Kristo atakapojitwalia utukufu.
1. Hayuko hata mmoja anayeomba Mungu amdhuru babu. Bali twaomba neema ya Mungu iwashukie wali mliopotea kwa kufuata mkumbo, mkidhani Mungu wa kweli anafuata idadi ya watu. Hakuna andiko hata moja linaloelekeana na tiba za asili za babu.

2. Unaposema Mungu wa babu huenda ndiye Mungu, inaonyesha kiwango cha imani yako. Ina maana hata yule uliyedhani unamwabudu kabla ya loliondo hukumjua vema bado. Ndio maana umesombwa na mafuriko ya loliondo. Sasa umeamua kujaribu Mungu wa loliondo. Kumbuka Mungu huruhusu mambo kama haya yatokee ili iwe kipimo cha imani. Hapa ndipo utawajua wale wamwabuduo kwa kinywa tu lakini mioyo yao iko mawindoni ikitafuta miungu mingine kama babu wa loliondo.

3. Katika zama za nabii Eliya Mungu alitenda kazi zake kupitia vinywa vya manabii. Lakini tangu Kristo alipoleta neema na uzima wa bure, neno lake limeandikwa mioyoni mwetu. Hivyo tuna uhuru wa kuchagua kumfuata ama kutomfuata. Ukisoma zaburi ya 73 utaona jinsi anguko la watu wenye dhihaka, kiburi, majivuno, kujiinua juu, ambao wameweka kinywa mbinguni wakati ulimi ukitangatanga duniani. Mungu huwaweka kwenye utelezi wakaanguka hata mahali palipoharibika. Huiondosha sanamu yao ghafla. Hivyo kama babu wamuona ndio Eliya wenu, unapotea. Eliya alifanya ishara iliyopelekea watu kubadili mioyo yao na kumwabudu Mungu wa kweli, siyo kushangilia muujiza tu. Muujiza wa Eliya uliamsha hofu kuu kwa Mungu aliye juu. Muujiza wa babu je?

4. Unasema Mungu wa manabii watakatifu ndiye mnayemwabudu ninyi, kwa jina la Yesu. Mbona mnamwabudu kwa vinywa tu wakati matendo yenu yakiwa mbali naye? Mbona huyo babu hamtaji Yesu? Baadhi ya mashabiki wa loliondo wanadai eti hamtaji babu ili kuepuka kuwagawa mashabiki wake, kwa vile Mungu anaabudiwa na wote na si Yesu. Sasa wewe huyo Yesu huko loliondo ulimtoa wapi tena? Tena hiyo aya ya zaburi umeisoma vizuri ukaielewa? "Anatusamehe maovu yetu" halafu sasa baada ya msamaha "anatuponya magonjwa yetu yote." Hivyo msamaha kwanza. Je ulipokwenda loliondo ulianza kwa kumwomba Yesu msamaha? Au ulikimbia kuwahi foleni ya babu tu? Maana Yakobo anasema tukiziungama dhambi zetu Yeye ni mwaminifu hata atusamehe..... Hebu tafakari hapo.

5. Ni kweli Yesu ametuletea neema. Lakini hilo lisiwe chaka la kujificha katika maovu. Warumi 6:1 "Tudumu katika dhambi ili neema izidi kuwa nyingi?." Wewe ndio amua sasa. Hivyo neema sio substitute ya kuendelea katika dhambi. Ndio maana woooooote mliotoka kwa babu tunategemea tuone matunda mema, mkiishi katika neema ya Kristo.


"Bila imani haiwezekani kamwe kumpendeza [Mungu] vema, kwa maana yule anayemkaribia Mungu lazima aamini kwamba yeye yuko na kwamba yeye huwa mthawabishaji wa wale wanaomtafuta kwa bidii." (Waebrania 11:6)

Mungu akubariki sana.
 
Pole, kama umeboreka(bored), lakini wenzako wamebarikiwa(blessed). Kama unapenda kukaa mahali pamoja na kupiga ngumi ukuta(endlessly) kama picha yako inavyoonyesha, wenzako tunapenda kwenda huko na kule!

Umeolewa na Wakenya nini? Mbona umeshupaa ki hivyo? Kwani wao hawana wanachopata kutoka TZ? Nina marafiki zangu wengi sana Wakenya tunaofanya nao kazi kwenye Shirika moja wakija semina huku kwetu wananihangaisha sana kuwapeleka madukani kwa ajili ya kununua Khanga na Vitenge. Kila mara wanatamani mikutano yetui tuifanyie Mwanza ili wapate bidhaa ya kupeleka kwao wewe unasemaje wewe!!!

Umewafagiliaaaaaaaaaa!! Mara panadol mara blue band sijui kitu gani kwenda zako huko!
 
Hii kitu imekaa vizuri sana...

Kuna haja ya kuweka Malipo kwa magari yanayokuja hapo ili kukinufaisha kijiji. Hata kama itakuwa ni Sh..5,000 kwa kichwa, kijiji/kata/tarafa/wilaya/Mkoa/Taifa litaingiza hela nyingi sana.

Walau sasa na sisi Tanzania tuna EXPORT......

Acha walete hizo Ngawira.................

Watu wachangamkie kujenga Mahoteli, maduka na minara ya Simu...............

Wenye Hoteli na Maduka ndiyo wasimamie na VYOO maana wanauza na kuja kukusanya uchafu......

Biashara kama kazi...... Ingelikuwa Babu yuko Kenya, wangeliweka VISA sasa hivi kwenda Loliondo yao....

Mitanzania imelala kama haina akili..... Biashara yao wanaona ni USAFIRI tu.........
 
Huyu jamaa tangu ajiunge hapa JF yeye ni KUMPINGA tu Babu...............

Huhitaji kumwambia mtu wa makamu kama kwa babu kunafaa kwenda au hakufai............

Nikiuguliwa leo na ndugu yangu kitu kama Kansa au AIDS, unafikiri hata ntakumbuka maneno yako?

Nikienda, sina uhakika ndugu yangu atapona ila nisipoenda, NINA UHAKIKA ATAKUFA.
Umeolewa na Wakenya nini? Mbona umeshupaa ki hivyo? Kwani wao hawana wanachopata kutoka TZ? Nina marafiki zangu wengi sana Wakenya tunaofanya nao kazi kwenye Shirika moja wakija semina huku kwetu wananihangaisha sana kuwapeleka madukani kwa ajili ya kununua Khanga na Vitenge. Kila mara wanatamani mikutano yetui tuifanyie Mwanza ili wapate bidhaa ya kupeleka kwao wewe unasemaje wewe!!!

Umewafagiliaaaaaaaaaa!! Mara panadol mara blue band sijui kitu gani kwenda zako huko!
 
Mimi nimesoma ulioandika lakini sijaona hoja nzito ambayo inaweza kumshawishi msomaji akubaliane nawe. Maana umetapatapa katika mambo mengi, mara uzungumzie bidhaa za kenya, bandari ya mombasa na hata shule. Pengine wewe ni mkenya au unakosa uzalendo. Kuna sababu iliyojificha ambayo nahisi unakosa ujasiri kuizungumzia. Wagonjwa ambao wametumia dawa na kupona watafutwe wathibitishe ili dawa izuiliwe au iendelee kutolewa.
Waziri wa Afya wa Kenya, Bi. Beth Mugo, amewakemea waganga wa kienyeji na wale wanaojigamba kwamba wanaponya kwa imani. Amesema kuwa serikali haitawaacha waipotoshe jamii kwamba wanaweza kuponya magonjwa yote. Aliyasema hayo katika sherehe za kuadhimisha siku ya Kifua Kikuu duniani. Aliendelea kusema kwamba waganga wa kienyeji wanahatarisha afya ya Wananchi wa Kenya. Alisema kitendo cha waganga hao wa kienyeji kudai kwamba wanaweza kuponya magonjwa sugu kama vile Ukimwi, kimesababisha magonjwa hayo kuenea zaidi kwa watu wengine. Aliendelea kusema kuwa huo ni uongo unaowafanya watu wachanganyikiwe.

Vile vile Bi Mugo amezitupilia mbali taarifa za vyombo vya habari kuwa mganga wa kienyeji anayejulikana kama babu huko Loliondo Tanzania, anaponya maradhi sugu, kwa kuwapa wagonjwa dawa inayotokana na mti wenye sumu. Bi. Beth Mugo ameiomba serikali ya Tanzania ikifunge kituo hicho cha Loliondo na kuwapiga marufuku watu wanaokwenda kwa babu huyo. Amedai kuwa watu wanaokwenda huko wakirudi wataeneza zaidi Kifua Kikuu na Ukimwi. “Tutakapokutana huko Burundi na Mawaziri wengine wa Afya wa nchi za Afrika Mashariki , nitamuomba Waziri wa Afya wa Tanzania, amtie gerezani babu huyo na kuipiga marufuku biashara yake ya uganga” alisema Bi. Mugo. Habari hizo ni kwa mujibu wa Shirika la Utangazaji la Kenya, KBC.

Habari hizo zinadhihirisha wazi kuwa "zimeichafua" sana akili ya Waziri huyo kama mtu aliyetupiwa madongo, ndio maana ameamua kujibu mapigo hadharani. Wakati huo huo Waziri wa Afya wa Tanzania naye pia amewakaripia vikali waganga wa kienyeji waache kudai kwamba wanaweza kuponya magonjwa sugu kama Kifua Kikuu. Hata hivyo, haijaeleweka wazi iwapo karipio hilo linamhusu pia babu wa Loliondo.

Babu wa Loliondo pamoja na kujiita mchungaji anaingia pia katika kundi la waganga wa kienyeji maana misingi ya tiba yake haitofautiani na ile ya waganga wengine wa kienyeji.

Kwa heshima na taadhima tunaiomba serikali yetu impige marufuku wazi wazi babu huyo ili kudumisha amani na utulivu uliopo kati ya Tanzania na Kenya. Babu asitusababishie chuki, uhasama na mgawanyiko kati yetu na Wakenya. Ni kweli, baadhi ya viongozi wa serikali yetu nao pia wamepata kikombe, kwa sababu hiyo wanaweza kuona aibu kumpiga marufuku babu. Tunaomba wasione aibu, maana wao pia sio malaika, ni wanadamu wanaoweza kukosea kama wengine. Kwa sababu hiyo wasilifumbie macho tamko hilo la Waziri wa Afya wa Kenya. Waziri huyo wa Kenya “ametema cheche” zinazoweza kutuongezea matatizo makubwa tuliyo nayo ya kiuchumi na kijamii. Wahenga walisema dalili ya mvua ni mawingu, na kinga ni bora kuliko tiba. Wakenya tunawategemea kwa mengi, wasije wakatufungia mpaka tukakosa bidhaa zao. Maduka mengi hapa TZ yamejaa bidhaa za Kenya – kuanzia mafuta, sabuni, vinywaji, nguo mpaka pipi. Inaonekana viwanda vyetu vinashindwa kuzalisha bidhaa bora.

Makampuni ya uchapaji, ya TZ, yaliyopo jirani na Kenya yanategemea sana kupata karatasi na vifaa vya uchapaji kutoka Kenya maana huko vinapatikana kwa bei nafuu. Sio hilo tu kuna Watanzania wengi waliopeleka watoto wao Kenya ili wajue vizuri Kiingereza maana shule nyingi za TZ hazina walimu wazuri wa lugha hiyo muhimu kwa mawasiliano kimataifa.

Dawa nzuri za kutibu hata mafua na kikohozi, ukiingia katika maduka ya madawa, utaona zimeandikwa Made in Kenya! Hata wanaotaka kuagiza magari kutoka Japan, wanaona nafuu magari yao yapitie bandari ya Mombasa, Kenya, maana bandari yetu ina ukiritimba mwingi na inachelewesha sana utoaji wa bidhaa.

Tembelea maduka ya vifaa vya ujenzi mjini Arusha, utashangaa kuona vifaa vizuri vya ujenzi, kama vile ceiling board, vimetoka Kenya. Siwapigii debe Wakenya, ila ukweli ndio huo tunawategemea kwa mengi ndio maana hata suala la Jumuia ya Afrika Mashariki bado linasua sua maana tunaogopa Wakenya watazidi kuushusha chini uchumi wetu.

We babu wa Loliondo, usiwafanye Wakenya watuchukie bure kwa sababu yako. Tukakosa hata Panadol(made in Kenya) ya kutibu maumivu ya kichwa. Usisahau Obama asili yake ni Kenya. Na Obama akiamua kuingilia suala lako, na kutuletea manowari na “mizaili” zake, kama alivyofanya kwa Kadafi, dawa zako haziwezi kumzuia. Kama hukupata mshahara mzuri kabla hujastaafu uchungaji, usitake kuwapora Watanzania walalahoi, pesa ndogo wanayoipata kwa shida, maana mishahara yao haitoshi hata kulipia nauli ya kuja huko Loliondo, mpaka wasafirishwe bure na Wabunge wa Chadema!
 
Waziri wa Afya wa Kenya, Bi. Beth Mugo, amewakemea waganga wa kienyeji na wale wanaojigamba kwamba wanaponya kwa imani. Amesema kuwa serikali haitawaacha waipotoshe jamii kwamba wanaweza kuponya magonjwa yote. Aliyasema hayo katika sherehe za kuadhimisha siku ya Kifua Kikuu duniani. Aliendelea kusema kwamba waganga wa kienyeji wanahatarisha afya ya Wananchi wa Kenya. Alisema kitendo cha waganga hao wa kienyeji kudai kwamba wanaweza kuponya magonjwa sugu kama vile Ukimwi, kimesababisha magonjwa hayo kuenea zaidi kwa watu wengine. Aliendelea kusema kuwa huo ni uongo unaowafanya watu wachanganyikiwe.

Vile vile Bi Mugo amezitupilia mbali taarifa za vyombo vya habari kuwa mganga wa kienyeji anayejulikana kama babu huko Loliondo Tanzania, anaponya maradhi sugu, kwa kuwapa wagonjwa dawa inayotokana na mti wenye sumu. Bi. Beth Mugo ameiomba serikali ya Tanzania ikifunge kituo hicho cha Loliondo na kuwapiga marufuku watu wanaokwenda kwa babu huyo. Amedai kuwa watu wanaokwenda huko wakirudi wataeneza zaidi Kifua Kikuu na Ukimwi. Tutakapokutana huko Burundi na Mawaziri wengine wa Afya wa nchi za Afrika Mashariki , nitamuomba Waziri wa Afya wa Tanzania, amtie gerezani babu huyo na kuipiga marufuku biashara yake ya uganga alisema Bi. Mugo. Habari hizo ni kwa mujibu wa Shirika la Utangazaji la Kenya, KBC.

Habari hizo zinadhihirisha wazi kuwa "zimeichafua" sana akili ya Waziri huyo kama mtu aliyetupiwa madongo, ndio maana ameamua kujibu mapigo hadharani. Wakati huo huo Waziri wa Afya wa Tanzania naye pia amewakaripia vikali waganga wa kienyeji waache kudai kwamba wanaweza kuponya magonjwa sugu kama Kifua Kikuu. Hata hivyo, haijaeleweka wazi iwapo karipio hilo linamhusu pia babu wa Loliondo.

Babu wa Loliondo pamoja na kujiita mchungaji anaingia pia katika kundi la waganga wa kienyeji maana misingi ya tiba yake haitofautiani na ile ya waganga wengine wa kienyeji.

Kwa heshima na taadhima tunaiomba serikali yetu impige marufuku wazi wazi babu huyo ili kudumisha amani na utulivu uliopo kati ya Tanzania na Kenya. Babu asitusababishie chuki, uhasama na mgawanyiko kati yetu na Wakenya. Ni kweli, baadhi ya viongozi wa serikali yetu nao pia wamepata kikombe, kwa sababu hiyo wanaweza kuona aibu kumpiga marufuku babu. Tunaomba wasione aibu, maana wao pia sio malaika, ni wanadamu wanaoweza kukosea kama wengine. Kwa sababu hiyo wasilifumbie macho tamko hilo la Waziri wa Afya wa Kenya. Waziri huyo wa Kenya ametema cheche zinazoweza kutuongezea matatizo makubwa tuliyo nayo ya kiuchumi na kijamii. Wahenga walisema dalili ya mvua ni mawingu, na kinga ni bora kuliko tiba. Wakenya tunawategemea kwa mengi, wasije wakatufungia mpaka tukakosa bidhaa zao. Maduka mengi hapa TZ yamejaa bidhaa za Kenya  kuanzia mafuta, sabuni, vinywaji, nguo mpaka pipi. Inaonekana viwanda vyetu vinashindwa kuzalisha bidhaa bora.

Makampuni ya uchapaji, ya TZ, yaliyopo jirani na Kenya yanategemea sana kupata karatasi na vifaa vya uchapaji kutoka Kenya maana huko vinapatikana kwa bei nafuu. Sio hilo tu kuna Watanzania wengi waliopeleka watoto wao Kenya ili wajue vizuri Kiingereza maana shule nyingi za TZ hazina walimu wazuri wa lugha hiyo muhimu kwa mawasiliano kimataifa.

Dawa nzuri za kutibu hata mafua na kikohozi, ukiingia katika maduka ya madawa, utaona zimeandikwa Made in Kenya! Hata wanaotaka kuagiza magari kutoka Japan, wanaona nafuu magari yao yapitie bandari ya Mombasa, Kenya, maana bandari yetu ina ukiritimba mwingi na inachelewesha sana utoaji wa bidhaa.

Tembelea maduka ya vifaa vya ujenzi mjini Arusha, utashangaa kuona vifaa vizuri vya ujenzi, kama vile ceiling board, vimetoka Kenya. Siwapigii debe Wakenya, ila ukweli ndio huo tunawategemea kwa mengi ndio maana hata suala la Jumuia ya Afrika Mashariki bado linasua sua maana tunaogopa Wakenya watazidi kuushusha chini uchumi wetu.

We babu wa Loliondo, usiwafanye Wakenya watuchukie bure kwa sababu yako. Tukakosa hata Panadol(made in Kenya) ya kutibu maumivu ya kichwa. Usisahau Obama asili yake ni Kenya. Na Obama akiamua kuingilia suala lako, na kutuletea manowari na mizaili zake, kama alivyofanya kwa Kadafi, dawa zako haziwezi kumzuia. Kama hukupata mshahara mzuri kabla hujastaafu uchungaji, usitake kuwapora Watanzania walalahoi, pesa ndogo wanayoipata kwa shida, maana mishahara yao haitoshi hata kulipia nauli ya kuja huko Loliondo, mpaka wasafirishwe bure na Wabunge wa Chadema!

Hapo ulipohitimisha kuwa wabunge wa Chadema wanapeleka watu, Lowassa, na mbunge wa Kwimba, Mansour nao ni wa Chadema, mbona wamepeleka watu kibao kutoka majimboni kwao?
 
yaani mpaka mapovu yanakutoka kwa kumpinga babu .... najua kwamba huko kwenye makanisa yenu uchwara sadaka zimepungua.....

ponyesheni watu ... acheni porojo .... miaka yooote mlikuwa mnapiga porojo na mikelele miiiingi lakini watu hawaponi sasa babu anawafundisha jinsi ya kutumia imani kikamilifu .... tena habagui
 
Toa hoja kuconfirm ucrazy wangu.
<br />
<br />
unaongea pumba tu...we huna uzalendo.nani alikwambia hapa tz panadol hatutengenezi?mara obama mara sijui ujinga gani,naona utakua na matatizo ya akili si bure.kujikomba tu kwa wakenya kaolewe basi huko
 
Waziri wa Afya wa Kenya, Bi. Beth Mugo, amewakemea waganga wa kienyeji na wale wanaojigamba kwamba wanaponya kwa imani. Amesema kuwa serikali haitawaacha waipotoshe jamii kwamba wanaweza kuponya magonjwa yote. Aliyasema hayo katika sherehe za kuadhimisha siku ya Kifua Kikuu duniani. Aliendelea kusema kwamba waganga wa kienyeji wanahatarisha afya ya Wananchi wa Kenya. Alisema kitendo cha waganga hao wa kienyeji kudai kwamba wanaweza kuponya magonjwa sugu kama vile Ukimwi, kimesababisha magonjwa hayo kuenea zaidi kwa watu wengine. Aliendelea kusema kuwa huo ni uongo unaowafanya watu wachanganyikiwe.

Vile vile Bi Mugo amezitupilia mbali taarifa za vyombo vya habari kuwa mganga wa kienyeji anayejulikana kama babu huko Loliondo Tanzania, anaponya maradhi sugu, kwa kuwapa wagonjwa dawa inayotokana na mti wenye sumu. Bi. Beth Mugo ameiomba serikali ya Tanzania ikifunge kituo hicho cha Loliondo na kuwapiga marufuku watu wanaokwenda kwa babu huyo. Amedai kuwa watu wanaokwenda huko wakirudi wataeneza zaidi Kifua Kikuu na Ukimwi. “Tutakapokutana huko Burundi na Mawaziri wengine wa Afya wa nchi za Afrika Mashariki , nitamuomba Waziri wa Afya wa Tanzania, amtie gerezani babu huyo na kuipiga marufuku biashara yake ya uganga” alisema Bi. Mugo. Habari hizo ni kwa mujibu wa Shirika la Utangazaji la Kenya, KBC.

Habari hizo zinadhihirisha wazi kuwa "zimeichafua" sana akili ya Waziri huyo kama mtu aliyetupiwa madongo, ndio maana ameamua kujibu mapigo hadharani. Wakati huo huo Waziri wa Afya wa Tanzania naye pia amewakaripia vikali waganga wa kienyeji waache kudai kwamba wanaweza kuponya magonjwa sugu kama Kifua Kikuu. Hata hivyo, haijaeleweka wazi iwapo karipio hilo linamhusu pia babu wa Loliondo.

Babu wa Loliondo pamoja na kujiita mchungaji anaingia pia katika kundi la waganga wa kienyeji maana misingi ya tiba yake haitofautiani na ile ya waganga wengine wa kienyeji.

Kwa heshima na taadhima tunaiomba serikali yetu impige marufuku wazi wazi babu huyo ili kudumisha amani na utulivu uliopo kati ya Tanzania na Kenya. Babu asitusababishie chuki, uhasama na mgawanyiko kati yetu na Wakenya. Ni kweli, baadhi ya viongozi wa serikali yetu nao pia wamepata kikombe, kwa sababu hiyo wanaweza kuona aibu kumpiga marufuku babu. Tunaomba wasione aibu, maana wao pia sio malaika, ni wanadamu wanaoweza kukosea kama wengine. Kwa sababu hiyo wasilifumbie macho tamko hilo la Waziri wa Afya wa Kenya. Waziri huyo wa Kenya “ametema cheche” zinazoweza kutuongezea matatizo makubwa tuliyo nayo ya kiuchumi na kijamii. Wahenga walisema dalili ya mvua ni mawingu, na kinga ni bora kuliko tiba. Wakenya tunawategemea kwa mengi, wasije wakatufungia mpaka tukakosa bidhaa zao. Maduka mengi hapa TZ yamejaa bidhaa za Kenya – kuanzia mafuta, sabuni, vinywaji, nguo mpaka pipi. Inaonekana viwanda vyetu vinashindwa kuzalisha bidhaa bora.

Makampuni ya uchapaji, ya TZ, yaliyopo jirani na Kenya yanategemea sana kupata karatasi na vifaa vya uchapaji kutoka Kenya maana huko vinapatikana kwa bei nafuu. Sio hilo tu kuna Watanzania wengi waliopeleka watoto wao Kenya ili wajue vizuri Kiingereza maana shule nyingi za TZ hazina walimu wazuri wa lugha hiyo muhimu kwa mawasiliano kimataifa.

Dawa nzuri za kutibu hata mafua na kikohozi, ukiingia katika maduka ya madawa, utaona zimeandikwa Made in Kenya! Hata wanaotaka kuagiza magari kutoka Japan, wanaona nafuu magari yao yapitie bandari ya Mombasa, Kenya, maana bandari yetu ina ukiritimba mwingi na inachelewesha sana utoaji wa bidhaa.

Tembelea maduka ya vifaa vya ujenzi mjini Arusha, utashangaa kuona vifaa vizuri vya ujenzi, kama vile ceiling board, vimetoka Kenya. Siwapigii debe Wakenya, ila ukweli ndio huo tunawategemea kwa mengi ndio maana hata suala la Jumuia ya Afrika Mashariki bado linasua sua maana tunaogopa Wakenya watazidi kuushusha chini uchumi wetu.

We babu wa Loliondo, usiwafanye Wakenya watuchukie bure kwa sababu yako. Tukakosa hata Panadol(made in Kenya) ya kutibu maumivu ya kichwa. Usisahau Obama asili yake ni Kenya. Na Obama akiamua kuingilia suala lako, na kutuletea manowari na “mizaili” zake, kama alivyofanya kwa Kadafi, dawa zako haziwezi kumzuia. Kama hukupata mshahara mzuri kabla hujastaafu uchungaji, usitake kuwapora Watanzania walalahoi, pesa ndogo wanayoipata kwa shida, maana mishahara yao haitoshi hata kulipia nauli ya kuja huko Loliondo, mpaka wasafirishwe bure na Wabunge wa Chadema!

we naisi hauko xawa we unafikiri mahusiano baina ya tanzania na wakenya yanaweza yakavnjwa kwa sababu ndogo ivyo eti waziri wa afya kasema babu ni mwngo. Waziri ingekuwa vyema angechnguza kuona kuna uongo kwa babu apa watu watmwelewa.. Uyo waziri anaitaji kikombe.
 
Thomas Ngawaiya akiwa anapata kikombe kwa Babu Mwasapile Amesema zaidi ya asilimia 80 ya viongozi wa Tanzania wamepata kikombe kwa Babu.

Source: TBC
 
Thomas Ngawaiya akiwa anapata kikombe kwa Babu Mwasapile Amesema zaidi ya asilimia 80 ya viongozi wa Tanzania wamepata kikombe kwa Babu.

Source: TBC

Nimemuona mkuu. Zaidi ya hayo babu anasema Serikali haitogundua lolote kwenye dawa yake,hata waje wataalamu toka nje hawatogundua lolote. Ni nguvu ya Mungu iliyo ndani yake ndio inayoponya si dawa inayoonekana kwa macho!
 
hahaaaaaaaaaaa kazi ipo watu wengi hawataki kikombe cha babu mungu atawachukua waliogonga kikombe tu!!!tusio gonga imekula kwetu!!!sababu tumemdharau babu!

Na watu waliendelea kustarehe, wakipiga "vikombe" wakati Nuhu alisimama katika neno. Hata alipokuwa akitengeneza safina walimcheka kwamba hataki kunywa vikombe, lakini yeye alimwamini Mungu aliye mkuu. Saa yaja ambapo mtajuta na kusaga meno.
 
Waziri wa Afya wa Kenya, Bi. Beth Mugo, amewakemea waganga wa kienyeji na wale wanaojigamba kwamba wanaponya kwa imani. Amesema kuwa serikali haitawaacha waipotoshe jamii kwamba wanaweza kuponya magonjwa yote. Aliyasema hayo katika sherehe za kuadhimisha siku ya Kifua Kikuu duniani. Aliendelea kusema kwamba waganga wa kienyeji wanahatarisha afya ya Wananchi wa Kenya. Alisema kitendo cha waganga hao wa kienyeji kudai kwamba wanaweza kuponya magonjwa sugu kama vile Ukimwi, kimesababisha magonjwa hayo kuenea zaidi kwa watu wengine. Aliendelea kusema kuwa huo ni uongo unaowafanya watu wachanganyikiwe.

Vile vile Bi Mugo amezitupilia mbali taarifa za vyombo vya habari kuwa mganga wa kienyeji anayejulikana kama babu huko Loliondo Tanzania, anaponya maradhi sugu, kwa kuwapa wagonjwa dawa inayotokana na mti wenye sumu. Bi. Beth Mugo ameiomba serikali ya Tanzania ikifunge kituo hicho cha Loliondo na kuwapiga marufuku watu wanaokwenda kwa babu huyo. Amedai kuwa watu wanaokwenda huko wakirudi wataeneza zaidi Kifua Kikuu na Ukimwi. “Tutakapokutana huko Burundi na Mawaziri wengine wa Afya wa nchi za Afrika Mashariki , nitamuomba Waziri wa Afya wa Tanzania, amtie gerezani babu huyo na kuipiga marufuku biashara yake ya uganga” alisema Bi. Mugo. Habari hizo ni kwa mujibu wa Shirika la Utangazaji la Kenya, KBC.

Habari hizo zinadhihirisha wazi kuwa "zimeichafua" sana akili ya Waziri huyo kama mtu aliyetupiwa madongo, ndio maana ameamua kujibu mapigo hadharani. Wakati huo huo Waziri wa Afya wa Tanzania naye pia amewakaripia vikali waganga wa kienyeji waache kudai kwamba wanaweza kuponya magonjwa sugu kama Kifua Kikuu. Hata hivyo, haijaeleweka wazi iwapo karipio hilo linamhusu pia babu wa Loliondo.

Babu wa Loliondo pamoja na kujiita mchungaji anaingia pia katika kundi la waganga wa kienyeji maana misingi ya tiba yake haitofautiani na ile ya waganga wengine wa kienyeji.

Kwa heshima na taadhima tunaiomba serikali yetu impige marufuku wazi wazi babu huyo ili kudumisha amani na utulivu uliopo kati ya Tanzania na Kenya. Babu asitusababishie chuki, uhasama na mgawanyiko kati yetu na Wakenya. Ni kweli, baadhi ya viongozi wa serikali yetu nao pia wamepata kikombe, kwa sababu hiyo wanaweza kuona aibu kumpiga marufuku babu. Tunaomba wasione aibu, maana wao pia sio malaika, ni wanadamu wanaoweza kukosea kama wengine. Kwa sababu hiyo wasilifumbie macho tamko hilo la Waziri wa Afya wa Kenya. Waziri huyo wa Kenya “ametema cheche” zinazoweza kutuongezea matatizo makubwa tuliyo nayo ya kiuchumi na kijamii. Wahenga walisema dalili ya mvua ni mawingu, na kinga ni bora kuliko tiba. Wakenya tunawategemea kwa mengi, wasije wakatufungia mpaka tukakosa bidhaa zao. Maduka mengi hapa TZ yamejaa bidhaa za Kenya – kuanzia mafuta, sabuni, vinywaji, nguo mpaka pipi. Inaonekana viwanda vyetu vinashindwa kuzalisha bidhaa bora.

Makampuni ya uchapaji, ya TZ, yaliyopo jirani na Kenya yanategemea sana kupata karatasi na vifaa vya uchapaji kutoka Kenya maana huko vinapatikana kwa bei nafuu. Sio hilo tu kuna Watanzania wengi waliopeleka watoto wao Kenya ili wajue vizuri Kiingereza maana shule nyingi za TZ hazina walimu wazuri wa lugha hiyo muhimu kwa mawasiliano kimataifa.

Dawa nzuri za kutibu hata mafua na kikohozi, ukiingia katika maduka ya madawa, utaona zimeandikwa Made in Kenya! Hata wanaotaka kuagiza magari kutoka Japan, wanaona nafuu magari yao yapitie bandari ya Mombasa, Kenya, maana bandari yetu ina ukiritimba mwingi na inachelewesha sana utoaji wa bidhaa.

Tembelea maduka ya vifaa vya ujenzi mjini Arusha, utashangaa kuona vifaa vizuri vya ujenzi, kama vile ceiling board, vimetoka Kenya. Siwapigii debe Wakenya, ila ukweli ndio huo tunawategemea kwa mengi ndio maana hata suala la Jumuia ya Afrika Mashariki bado linasua sua maana tunaogopa Wakenya watazidi kuushusha chini uchumi wetu.

We babu wa Loliondo, usiwafanye Wakenya watuchukie bure kwa sababu yako. Tukakosa hata Panadol(made in Kenya) ya kutibu maumivu ya kichwa. Usisahau Obama asili yake ni Kenya. Na Obama akiamua kuingilia suala lako, na kutuletea manowari na “mizaili” zake, kama alivyofanya kwa Kadafi, dawa zako haziwezi kumzuia. Kama hukupata mshahara mzuri kabla hujastaafu uchungaji, usitake kuwapora Watanzania walalahoi, pesa ndogo wanayoipata kwa shida, maana mishahara yao haitoshi hata kulipia nauli ya kuja huko Loliondo, mpaka wasafirishwe bure na Wabunge wa Chadema!

mbona huna hoja yoyote? Swala la BABU kutoa kikombe halafu unasema tunawategema wakenya kwa vitu vingi!
Huyo waziri atafunga soko la kibiashara kwa mtazamo wako?
Huna jipya hebu ondoa topic.
KWANZA HUJASOMEA UCHUMI.
 
LOLIONDO NI UWANJA WA VITA, MAJESHI YETU YAKO WAPI ?

NINAMUUNGA mkono kabisa yule mwandishi wa Mwananchi aliyethubutu kusema kwamba ajabu ya nchi hii ni kuwa viongozi wetu ni wepesi kutuma majeshi au polisi au FFU kwenda kuzima maandamano ya wapinzani kuliko kutuma majeshi hayo kwenda kufanya jambo jema litakalopunguza matatizo ya wananchi au kuwaondolea shida au dhiki fulani.

Ninaamini kwamba kama tuna serikali ambayo inashindwa kutekeleza mawazo ya mwandishi huyu, yaani, kuifanya Loliondo ikapitika kwa urahisi, vyakula, maji, vyoo na huduma zote muhimu zikapatikana bila shida basi ni vigumu kuona ni jinsi gani serikali inayoshindwa kuendeleza tena kwa faida yake na watu wake eneo dogo kama hili litaweza kuendeleza nchi yetu nzima ?

Loliondo imetufungua wengi macho. Tumeuona ubinafsi wa viongozi wetu uchiuchi. Na hakuna siri tena. Nchi hii ina viongozi wabinafsi. Wanataka kila kitu wapate wao kwanza. Na kwa muktadha huu tusahau kabisa kwamba tuna aina ya viongozi ambao wanaweza wakawatoa watu toka kwenye umaskini wakati viongozi hao wametawaliwa na umimi na ubinafsi. Tuna viongozi wa siasa na wa dini, lakini ona fedheha na vichekesho hii leo ya viongozi hao. Huku baadhi redio zao zikimponda babu wao ndio wamekuwa wakwanza kwenda kupata kikombe.

Niwaambie ahlili-kitabu kwamba mwenyezi Mungu hawezi kuwa mjinga hivyo kumpa fisadi, mwizi, mabarakala wa wanasiasa, mla mrushwa, mbinafsi karama zake. Na ndio maana kampa babu akijua fika kuwa sio mchafu kama hao wenye majoho ya sufi na vilemba vya hariri lakini ni wachafu kupindukia.


Viongozi wa serikali nao walivyokwenda na kupata dawa ndio ikawa wamemaliza kazi yao. Wakati kiungwana na kistaarabu kwa miiko ya uongozi wao wangelistahili kuwa wa mwisho kabisa baada ya wagonjwa wa kikwelikweli kwenda kutibiwa kwa urahisi na bila matatizo yanayojitokeza sasa.

Je, amiri jeshi wetu na majeshi yake wanatafsiri neno VITA kuimanisha nini? Na je, mahala panapohitaji akili, vifaa na mijiguvu ya kijeshi hivi unaweza kuwatuma wakuu wa mikoa ambao hata kama wana historia ya kuwa wanajeshi akili zao sasa hazifanyi kazi tena kijeshi na wamekuwa hana tofauti na raia wa kawaida?

Vita sio tu pande mbili zenye silaha kupambana au kuuana. Vita ni hali yoyote ile ambayo inaweza ikasababisha ugumu, dhiki, maradhi, ulemavu na hata kifo kwa wananchi. Hali kama hii ikijitokeza kama tulivyoona kwa wenzetu Wajapani na majeshi yao huwa ni sawa na hali ya kivita.

Tatizo kubwa lililojitokeza katika njia ya Arusha-Samunge ni ubovu na uduni wa barabara. Tanroads, Majeshi yetu na Wizara ya Utalii na Wizara ya Afya zinaweza kwa pamoja kuhamasisha uwekezaji utakaochangia tu sio kwa barabara hiyo kujengwa na kufikia kiwango cha kupikitika misimu yote bali pia kila baada ya kilomita kadhaa kuwe na mahema au majegno 'pre-fabricated' ambayo mamlaka ya Utalii wa Afya na Tiba (itakayobeba jukumu la kusimamia na kuendesha mradi) litakodisha kwa wageni toka ndani na nje ya nchi pamoja na wafanyabiashara mbalimbali watakaoendesha huduma muhimu zinazohitajika wakati wote na wale waelekeao Loliondo.

Gharama zozote zilizotolewa na kila mmoja wao zitalipika na faida juu kwa muda wote huduma hii ya dawa ya babu itakavyoendelea. Je, wizara husika na majeshi yetu zinataka nini zaidi ya hili ?

Karibu mwezi sasa unayoyoma na kinachoonekana kwenye njia ya kwenda kwa Babu kule Samunge ni vifusi vya mchanga na changarawe lakini hakuna greda, matrekata, kreni wala chombo chochote kinachoweza kuwa na msaada kwa wananchi wanaoteseka huko.

Basi au lori likikwamba 'wagonjwa' wakiwa mababu, mabibi, watoto na wananchi wengi wasio na nguvu hulazimika kufanya kazi hiyo ngumu.

Viongozi wetu wameamua baada ya wao kwenda kunywa kikombe kwa babu kuwa kuna mambo yenye umuhimu zaidi kuliko kushughulika na mazingira, barabara na Usalama katika kwenda Samunge na kwamba ikiwezekana kama tunavyopenda miteremko ni kuwazuia wananchi kwenda kwa babu. Ninadhani huu utakuwa mkakati mbovu na kama wazungu wanavyosema unaweza uka'backfire' kwa viongozi na hasa ikigundulika bado baadhi ya viongozi wetu watakuwa wanaingia kwa babu kwa helikopta au njia nyingine ambazo ni nyepesi na rahisi zaidi.

Kwa kutambua kuwa hali ya eneo hilo la Loliondo, mazingira yake na kaumu ya watu iliyokusanyika huko ni sawa na hali ya KIVITA ningelitegemea WAHESHIMIWA SANA VIONGOZI WETU wangeliamrisha mara moja majeshi yetu kuelekea huko na kwenda kupambana na adui mazingira kwa hali na mali hadi kieleweke.

Hizi tabia za Kiswahili, kizaramo za kuyaangalia mambo na kuyalegezea macho na misuli na sasa akili hivi zitatufikisha wapi. Hali ya Loliondo jamani inahitaji wanaume watoke. Na wanaume wetu sana zaidi ya majeshi na FFU ni nani ? Badala ya Fanya Fujo UOne tunataka tuone Fikeni Fanyeni Usafiri Uwepo!~

Hivi serikali yetu na viongozi wake wamekwishakaa na kutathmini wananchi wenye matatizo wanaoelekea Loliondo watawaona vipi ikiwa mambo haya yatafanyika:

. Jeshi na zana zake kutumika kuhakikisha pamoja na kuwepo mvua barabara inapitika kwenda kwa babu wakati wote;
. Vyoo vya 'kuassemble' kijeshi vinajengwa papo kwa hapo kwa mamia;
. Mifereji ya maji inachimbwa pembeni ya barabara na huko Samunge ili hata kama mvua ikinywesha watu waendelee na kazi zao kama kawaida;
. Jenereta babu kubwa zinapelekwa huko na umeme unazalishwa wa kutosha ili pasiwe na haja ya watu kuendelea kukata miti na kuligeuza eneo hilo jangwa kutokana na mahitaji yao ya nishati;
. Babu anapatiwa majiko kadhaa ya umeme kumsaidia kuchemsha dawa wakati wote;
. Babu anapatiwa mashine ndogo kama ile ya mitambo ya soda au maji inayosaidia kuweka dawa katika vikombe na yeye asiwe na kazi ya kuchota dawa hiyo kila siku iendayo kwa Mungu;
. Taratibu zinafanyika za kuwa na matanki na maji mengi ya mvua kadri iwezekanavyo yanategwa na kujazwa kwenye mapipa hayo kwa matumizi ya leo na kesho;
. Visima virefu vinachimbwa na mabomba kuwekwa ili kuhakikisha kwamba maji katika eneo hilo sio tatizo tena;
. KIna mama lishe wanasaidiwa na mabenki na taasisi zingine za Kifedha kwenda kufungua biashara yao huko katika mazingira safi na yanayokubalika;
. Viongozi na mashirika mbalimbali ya kidini yanachangia kwa hali na mali kuwe na misikiti, makanisa na maeneo ya kuswalia kwa sababu hapatakuwa na shida tena ya maji na huduma kama hizo;
. Serikali na viongozi wake bila roho ya kwanini inahakikisha kuwa wakazi wa Loliondo kwa kila hali wanasaidiwa kunufaika na 'neema' hii iliyoletwa toka mbinguni ili waondokane milele na umaskini wa kupindukia.

Nina hakika serikali namna hiyo itapendwa na kuheshimiwa na wananchi wake ndani na nje ya wilaya ya Ngorongoro kwa namna ambayo haijawahi kutokea katika historia yetu.

Nimalizie tu kwa maneno ya hekima ya Baba wa Taifa Amiri Jeshi wa Kwanza wa Majeshi huru ya Serikali ya Muungano wa Tanzania: ' LINALOWEZEKANA LEO, LISINGOJE KESHO !'
 
Ya babu Loliondo tuliambiwa ni mungu kaotesha; Tarakea tukaambaiwa bikira maria na yesu ndiyo wameotesha; sasa ya Mbeya tunaambiwa ni maruani (majini) yameotesha; wote wameonyeshwa mizizi ya kunywesha; sasa tuamini lipi wanaJF????? Maana kwa wote tunaambiwa wanaponya magonjwa sugu yote!!!!!!!!!!!!!! ingawa mpaka sasa hatujathibitishiwa kwa vipimo vya hospitali kama kuna aliyepona!!!!!!!!!!!! Kweli wahenga waliosema wajinga ndiyo waliwao walitabiri bila kujua Tz ya leo mwaka 2011!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom