Imethibitishwa na Serikali... Babu wa Loliondo ni Tapeli

Vyombo vya habari navyo havikuwa nyuma kupigia debe 'dawa' hiyo ya kitapeli ...

Angalia article hii kwenye Guardian la 29th march 2011.

[h=2]'Babu' cupful gets initial nod[/h] By Patrick Kisembo


29th March 2011




headline_bullet.jpg
The concoction has no harm on human beings - researchers
headline_bullet.jpg
PM: Govt to create conducive environment for pastor`s services



Babudawa%282%29.jpg

Retired pastor Ambilikile Masapile


Ministry of Health and Social Welfare has endorsed the “miracle cure” administered by retired pastor Ambilikile Masapila (his proper names) as fit for human consumption, adding however that efficacy tests were going on.
“It is a long process which cannot be completed in a short period of time,” said Tanzania Food and Drugs Authority Acting Director General Charys Ugullum when unveiling results of the laboratory analysis on the sample of the “miracle cure” to journalists in Dar es Salaam yesterday.
“The investigation which has been conducted so far has yielded satisfactory results that the measurement used by “Babu” in dispensing the concoction is not harmful to human beings,” she said, adding: “So far we are satisfied by its safety.”

She however said that the researchers were continuing with investigation into whether the herbal medicine can cure the five diseases as claimed by pastor Masapila.
“This task, implemented according to world scientific rules and regulations, takes a long time to achieve acceptable national and international standards,” Ugullum said.
She said the researchers were also following up on the health of some 200 patients who have taken the herbal medicine.
“These patients have volunteered to be involved in the investigation to know their health status after taking the medication,” Ugullum said.
She said the government was planning to make a follow up on the use of the “treatment tree” in other parts of the country because there were reports that it has been used by other tribes like Wagogo, Maasai, Wabarbaig and Wasonjo.
The investigation team included people from TFDA, Muhimbili University for Health and Allied Sciences, Government Chemist and National Institute for Medical Research (NIMR).
 
Hapo kwenye red hapoo, ina maana hata watafiti wa NIMRI na wengine wamepata false results kwa kuwa wameipeleka dawa nje ya eneo husika. Na je, walipoichukua kwa ajili ya utafiti walipata ruhusa ya babu?

We umenichekesha sana ndg yangu, loh!
 
Nchi ya Wajinga huongozwa na wajinga na hutapeliwa viile vile.. Tuliyasema haya toka mzee huyu alipojitokeza watu wakatuona wajinga.

Sasa ebu jiulizeni ni viongozi wangapi walienda Loliondo wakapa kikombe, halafu mnataka kuongozwa na kundi la watu wanaoamini sana uchawi na Utapeli wa watu wanaodai kwamba wao wako karibu sana na Mungu na mkawaamini..

Umaskini wetu sio bure, sisi kichwani hamna kitu..
 
Afadhali imedhihirika hivo,nilikosana na jamaa zangu kwa kuwaambia huu ni utapeli tu.

mi nusra nikosane na mama yangu kwa kumnyima nauli ya kwenda kwa babu, sema baadae nilikubali yaishe nikampa
 
Hilo sharti la 'kutotoka na dawa nje ya Loliondo' ndio lilikuwa sharti kuu la kuwezesha wagonjwa 'kupona'.
Hapo ndio uongo wake ulipokuwa wazi kabisa.
Watu ilibidi washtuke hapo, maana, haiingii akilini kusema kuwa 'dawa' haifanyi kazi nje ya Loliondo, halafu dawa hiyo-hiyo ichukuliwe ikachunguzwe nje ya Loliondo !!
Hatimaye, NIMR wakatoa tamko kuwa 'dawa' haina madhara !!

NIMRI na hata TFDA were right kusema dawa haina madhara kwa sababu haidhuru. lakini uwezo wa kutibu (pharmacological efficacy) ndio ''zero'' Mkuu.
 
Huyo mchungaji aliwatahadharisha wananchi kuwa wasiache kutumia madawa yao ya hospitali. Kwa uzembe wa Serikali na wakapuuza ushauri wake wa katazo wakaenda kwa kasi kubwa. Leo wasimulaumu kwa kuwa alitoa tahadhali sisi watu makini hatukwenda, lakini pia bei ya dawa yenyewe ilitia mashaka. Wamuache babu wasimuletee shida, maana hata Prof. Maji Marefu baada ya kutapeli watu sasa hivi ni Mbunge mbona hamjapiga kelele. Serikali DHAIFU.

Wajinga ndio waliwao.
 
Bado upumbavu anaendelea.

Hivi Babu alikuwa anatoa risiti kwa waliokunywa 'Kikombe' chake? Unawezaje kuthibitisha kuwa ulikuwa mteja wake?

Pili, kuna aliyelazimishwa kwenda Loliondo? Babu wala hakutoa matangazo mahali popote. Watu walimfuata nyumbani kwake kwa hiari zao. Na aliwaonya kuwa dawa yake inaendana na imani. Sasa kama hamkupona kwa kukosa imani yeye angefanyeje?

Waliokwenda kwa Babu nyote mgeona aibu, kufunga midomo yenu na kuficha nyuso zenu kwa sababu ni wapumbavu. Sina nia ya kutukana mtu ila ni kuelezea hali.

Wa kushitakiwa ni watu wakubwa kama mawaziri, wakuu wa mikoa hata maaskofu, ambao walishabikia na kwenda huko bila kuwa na ushahidi wowote kuhusu hiyo dawa. Wao ndiyo walitoa mfano mbaya na kuzidi kuhamasisha watu.
 
wa kulaumu ni pamoja na viongozi wa serikali na wa ccm (jk, salma, el, lusinde, makamba, kandoro, mwigulu, etc. ) ambao pamoja na wake zao walishiriki ktk kufanikisha huu utapeli kwa kunywa `uchafu ` huo. inasemekana lengo lilikuwa ni kuondoa habari za cdm kwa muda kwenye media outlets zetu
 
Babu kateseka sana maisha haya, katuliza kichwa kaja na mchongo wake makini wa uzeeni mnaanza kumletea gozigozi acheni zenu kwani Hosea yeye sie polisi mbona kalambishwa kikombe, nasikia mpaka mkuu wa kaya kalamba na hajadondoka tena jukwaani........ yaoneni kwanza!
 
maarifa ya Mungu huanzia kwenye upumbavu wa mwanadamu. Swala la imani lilithibitishwaje maabara?siku za kuishi za watu waliokunywa dawa je, zilirekodiwa kabla ya kunywa dawa ili zilinganishwe kama ziliongezeka ama kupungua?
 
Ingekuwa kwa wenzetu serikali nzima ingeachia ngazi. Huwezi kuachia watu watumia dawa then baadae ndio unasema ni utapeli!
Ni kweli ndugu.Viongozi wangapi wa serikali walienda kunywa dawa hiyo na wakaipigia debe,leo babu ndio mwenye makosa.SERIKALI HII YAANI NI DHAIFU SANA.Hawataki kuboresha huduma za afya ili kuhalalisha watu wakaliwe na waganga wa kienyeji.
 
Babu kateseka sana maisha haya, katuliza kichwa kaja na mchongo wake makini wa uzeeni mnaanza kumletea gozigozi acheni zenu kwani Hosea yeye sie polisi mbona kalambishwa kikombe, nasikia mpaka mkuu wa kaya kalamba na hajadondoka tena jukwaani........ yaoneni kwanza!

Mkuu hapo nakubaliana nawewe, sioni kosa la Babu, hakulazimisha mtu yeyote kumfuata na bado waliomfuata aliwataadhalisha. katusaidia kutuelewesha aina ya watu tulionao katika nchi yetu.
 
Mkuu mbona ueleweki kwa hiyo Babu wa Loliondo ni Chadema...unapinga kuwa sio tapeli?

utapeli si tapeli ila watu walikurupuka alisema ni imani. Hata kanisani kuna maji ya baraka kwani na hayo tyanatibu? ila kwa imani mtu apona
 
serikali ndio ilifanya makosa na ndio imesababisha watu wengi wafe kutokana na dawa ya babu maana mpaka mawaziri walienda kupata kikombe na pengine hata jk aliletewa ikulu kwa siri siri
 
Mambo yanayokwenda kiimani ni vigumu kuchukuliwa hatua za kisheria wengi wanadanganya au kwa kuwa hawatoi dawa mfano Kakobe, Lusekelo na wengineo kwa nini nao wasichukuliwe hatua kwa kutapeli juu ya kutibu watu UKIMWI kwa maombezi wakati sio? Mzee wa Gombe, Nkono na viongozi wengi sana wa Taifa hili walikunywa dawa hiyo tunasikia na mkuu wa kaya pia sasa isiwe wanataka kumuadhibu babu wa watu kwa sababu ya uzembe wao wenyewe wa kujipeleka na kunywa hiyo dawa.
 
Kweli hapa Serikali Hatuna. Yaani kama ingekuwa ni sumu mpaka leo ndio serikali inastuka, je wangekuwa watu wangapi wamepoteza maisha?
Mkuu malizia tu kwamba viongozi wetu walikunywa sumu,maana karibia serikali yote ilikwenda huko na kupata kikombe kwa uthibitisho huo wa serikali inamaanisha viongozi wetu wa nchi walitapeliwa.Kweli serikali DHAIFU haina maono,waziri wa afya hata kama utafiti wake ni kweli angekaa kimya kumtunzia heshima mkubwa wake wa kazi.
 
Back
Top Bottom