Ye Nyumbai
Senior Member
- Mar 24, 2011
- 125
- 37
Machalii wa A Town mpo ya kweli hayo?
Tupo kabisa.Kipindi cha kwenda Loliondo tulivuna pesa za watu wa Dar, Mbeya, Iringa na kwingineko. Magari yetu tulikodisha sana ila wengine hatukunywa dawa kwa kutokuwa na imani nayo.