boss kwani hapo ni tz??Watanzania tushazoea kujengewa barabara hizi
na Magufuli anasifika kwa kuchapa kazi
kwa kujenga barabara hizi ambazo ni hatari mno...
cc Nyani Ngabu
Hii ni ndoa pekee iliyodumu JF pamoja na mapito yote lakini tumeweza kusimama imara na mizizi ya malovee kuzidi kujikita mbali zaidiShemeji mshana jr![]()
![]()
kuja hapa upesi, asehhh kumbe kijana wangu mshana hayupo mbali na fursa....
Ha ha haaa. Vikaguliwe kwanza kama TBS vilee.Mamito niwie radhi bure sikuwa hewani ukimpelekea vipitie kwangu kwanza niviwekee ulinzi![]()
![]()
![]()
Ili uniroge nani asiye kujuwa mzee kalimanzila, urojo, tende ntavifuata mwenyeeeMamito niwie radhi bure sikuwa hewani ukimpelekea vipitie kwangu kwanza niviwekee ulinzi![]()
![]()
![]()

Hahaha NDOA imedumu kwa kuwa anaogopa usije mnatisha huko akichepuka mzee kalimanzilaHii ni ndoa pekee iliyodumu JF pamoja na mapito yote lakini tumeweza kusimama imara na mizizi ya malovee kuzidi kujikita mbali zaidi
Weeeeeeee acha tu, shemu acha tu nitakuja mwenyewe kuliko vikapitia kwa kalimanzilaHa ha haaa. Vikaguliwe kwanza kama TBS vilee.
Aah sio Angel NylonHahaha NDOA imedumu kwa kuwa anaogopa usije mnatisha huko akichepuka mzee kalimanzila
Leseni anayo? Alivaa "Element"? Breath analyser ilisoma ngapi?
😆😆Umefukua makaburi we mzee