Imeshawahi kukutokea hii (NAOKOKA GUEST)????

Imeshawahi kukutokea hii (NAOKOKA GUEST)????

Umeenda Nyumba ya Kulala Wageni mgeni wako (Mchepuko) Umeshatangulia uko room no 103 kufika jamaa wa mapokezi anakufahamu vizuri anakuuliza Mkeo/Mumeo hawajambo? Mtoto nae?

Niambie ungefanyaje? View attachment 829423
Una umri gani wa kuweza kumshitua huyo mchepuko wako kukuona wewe hauwezi kumiliki mke?

Je huyo mchepuko wako unapoenda naye 'gesti' kisha ukaelewa kuwa ni mke wa mtu kwa kupitia maswali ya mhudumu, utaahirisha 'zoezi' kwa kuwa umeuelewa ukweli?

Je katika kutafuta mchepuko, ukimpata huwa unamuuliza kama ameolewa ama lah?
 
Niliwahi enda lodge nimelipia demu hakuja, wkt nimelipia, nikamuomba dada mpangishaji snipe kidogo nichangamshe damu, alikomaa naye lkn mwishoni akanirusha na moja, nikaunga mbili mumomoooo
Siku hz siwezi tena, ila alinipa raha sana
Snipe ndo nini??
 
Bora uliokoka kabla ibilisi hajakuhamisha hii sayari.

Mzima lakini kaka?
Wana nidhamu Sana, kuna mmoja aliniangalia Sana Sana, anatamani anisemeshe jambo lakini anashindwa! Hahahaha miaka hio kabla sijaokoka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom