Executor
JF-Expert Member
- Sep 29, 2014
- 867
- 990
...
Kwakweli nimeumia sana sana katika hili ndugu zangu, naweza onekana wa ajabu lakini nimeumia sanaaaa!
Jana nimepokea taarifa ya kifo cha paka wangu ambaye aliondoka nyumbani takribani siku 3, jana napata taarifa yakuwa aliuwawa tena kwa kuchomwa moto
Kinachoniuma zaidi baada ya kuchomwa moto naskia akaliwa na mbwa
Pia alikuwa anaujauzito binadamu wakatili kwakweliii....
Kwakweli nimeumia sana sana katika hili ndugu zangu, naweza onekana wa ajabu lakini nimeumia sanaaaa!
Jana nimepokea taarifa ya kifo cha paka wangu ambaye aliondoka nyumbani takribani siku 3, jana napata taarifa yakuwa aliuwawa tena kwa kuchomwa moto
Kinachoniuma zaidi baada ya kuchomwa moto naskia akaliwa na mbwa
Pia alikuwa anaujauzito binadamu wakatili kwakweliii....