Imeniuma sana, Wanawake ni viumbe hatari kwakweli

Imeniuma sana, Wanawake ni viumbe hatari kwakweli

Rafiki yangu leo kanionesha sms kutoka kwa mke wa jirani yetu anamwambia mume wangu analazimisha tusex ila mimi sitaki nataka kuonana na kusex na wewe kwa jinsi ninavyokupenda.

Nikamuuliza kama wapo kwenye mahusiano akaniambia alishatembea nae zaidi ya maramoja na wote ni majirani. Wanawake tuishi nao kwa akili kwakweli
Ukigundua limetoa uroda lirudishe kwao tu.....kwisha.
 
Back
Top Bottom