Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 52,050
- 126,083
Ila sio kwa ukubwa huu unaotengenezwa sasa Mkuu.Japo upo sahihi ila ndoa ni tatizo kubwa sna kwa sasa.
Ila sio kwa ukubwa huu unaotengenezwa sasa Mkuu.Japo upo sahihi ila ndoa ni tatizo kubwa sna kwa sasa.
Kwa mwanaume ukiwa hauna ndoa unakua na amani sna ,hata kama unaishi na mwanamke , ila ukishaingia ni mshike mshike ndege tunduniIla sio kwa ukubwa huu unaotengenezwa sasa Mkuu.
Hahahaa. Lol.Kwa mwanaume ukiwa hauna ndoa unakua na amani sna ,hata kama unaishi na mwanamke , ila ukishaingia ni mshike mshike ndege tunduniView attachment 2912415
Huyu jamaa amekaa kinafikinafiki.
Kuoa naoa kila mara tukishindwna tunaachana kiroho safi, ila kufunga ndoa ni kujifunga pingu mwenyewe huku unachekelea kama fala.Hahahaa. Lol.
Umeshawahi kuoa kwani Mkuu?
Uzuri ni kwamba kwa ground watu wanafunga ndoa kila siku na zinazodumu tunaziona.. Hizi changamoto zipo hatukatai lakini kwa jinsi zinavyopigiwa promo humu ndani inaogopeshaYaani acha tu mdogo wangu.
Imefikia hatua mtu akipata kihabari chake tu ilimradi kinamchafua mwanamke na taasisi nzima ya ndoa basi wao mbio kukaleta.
Kwa namna hii ushindi kwao ni lazima.
Ahhhhh weweeeee 🙄 zinazodumu umeonea wap wewe toto ya juzi 😁😁Uzuri ni kwamba kwa ground watu wanafunga ndoa kila siku na zinazodumu tunaziona.. Hizi changamoto zipo hatukatai lakini kwa jinsi zinavyopigiwa promo humu ndani inaogopesha
Asa watu wanaishi pamoja hadi watoto wanaingia sekondari utasema hawajadumu kweli?Ahhhhh weweeeee 🙄 zinazodumu umeonea wap wewe toto ya juzi 😁😁
MKAZO 📌🔨❗NAKAZIA.
Kweli kabisa na hata ndoa zenye furaha zipo nyingi tu.Uzuri ni kwamba kwa ground watu wanafunga ndoa kila siku na zinazodumu tunaziona.. Hizi changamoto zipo hatukatai lakini kwa jinsi zinavyopigiwa promo humu ndani inaogopesha
Duuh!Ahhhhh weweeeee 🙄 zinazodumu umeonea wap wewe toto ya juzi 😁😁
LINAFIKI LA TAIFA
Mtu gani wewe ulimwona kaoa ,kapata mtoto ,mpka mtoto kafika sekondari kwa kizazi hiki wewe toto😜😜😜Asa watu wanaishi pamoja hadi watoto wanaingia sekondari utasema hawajadumu kweli?
And that’s it👊👊Kweli kabisa na hata ndoa zenye furaha zipo nyingi tu.
Ifikie hatua hawa kataa ndoa waangalie namna ya kujipromote lakini sio kwa kutumia madhaifu ya wanawake ambapo saa nyingine kiuhalisia hata hayapo kwa ukubwa huu tunaouona humu jf.
Mi katibu mwenezi was Sera, mwenyekiti wa kataa ndoa ni Liverpool VPN, katibu dronedrake
Kumbe huyu mwamba drone huku ni katibu ,kule chaputa ni mwenyekiti [emoji848][emoji848] kweli mwamba anaupiga mwingi.
Hail To Chairperson. Hail To Chairperson