min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 58,066
- 166,624
Kumbe huyu mwamba drone huku ni katibu ,kule chaputa ni mwenyekiti 🤔🤔 kweli mwamba anaupiga mwingi.Mi katibu mwenezi was Sera, mwenyekiti wa kataa ndoa ni Liverpool VPN, katibu dronedrake
Kumbe huyu mwamba drone huku ni katibu ,kule chaputa ni mwenyekiti 🤔🤔 kweli mwamba anaupiga mwingi.Mi katibu mwenezi was Sera, mwenyekiti wa kataa ndoa ni Liverpool VPN, katibu dronedrake
Yap, dronedrake ni fisadi la vyeo🤣😆, mimi ni mwenyekiti wa ubahili jf🤒Kumbe huyu mwamba drone huku ni katibu ,kule chaputa ni mwenyekiti 🤔🤔 kweli mwamba anaupiga mwingi.
😁😁😁Yap, dronedrake ni fisadi la vyeo🤣😆, mimi ni mwenyekiti wa ubahili jf🤒
NAKAZIA IWE IMMORTALYKATAA NDOA ×10
NAKAZIA, hizo ndo amri kumi za duniaNAKAZIA IWE IMMORTALY
Rafiki yangu leo kanionesha sms kutoka kwa mke wa jirani yetu anamwambia mume wangu analazimisha tusex ila mimi sitaki nataka kuonana na kusex na wewe kwa jinsi ninavyokupenda.
Nikamuuliza kama wapo kwenye mahusiano akaniambia alishatembea nae zaidi ya maramoja na wote ni majirani. Wanawake tuishi nao kwa akili kwakweli
Wakati kaikalia nae akikuambia tulia na wewe unatulia kweli?Nilikuwa naye mmoja mumewe mtu wa masafa marefu,Jamaa akipiga simu, ananiambia tulia kwanza niongee na huyu Fala,hapo kaikalia.
Namshukuru Mungu niko salama,na staki tena Mke wa mtu.
Hivi Mrisho Mpoto na Whoopi Goldberg ni ndugu!!??
uoga wako ndio umaskini wako 🐒Haya maneno wanawake ni viumbe hatari , ndio yanafanya vijana legelege kuwa mchicha mwiba kwa hofu ya kuogopa wanawake, sasa mwanamke ana hatari gani bro[emoji848][emoji848][emoji848]
Sure bro.uoga wako ndio umaskini wako 🐒
Japo upo sahihi ila ndoa ni tatizo kubwa sna kwa sasa.Haya ni mambo ambayo yapo na kwa namna mzunguko wa maisha ya binadamu ulivyo saa nyingine haiwezekani yasitokee hata, ila kwa kuwa mna kampeni yenu ya kataa ndoa ndio sababu mkikutana na jambo tu basi mnalishadadia iliradi tu ionekane walioko kwenye ndoa wamekosea njia.
Saa ingine mnaongeza hadi chumvi ilimradi tu kataa ndoa mjinyakulie points. Lol.
Yaani acha tu mdogo wangu.kama Kataa ndoa wasiposhinda uchaguzi mkuu basi uchawi upo, sio kwa points hizi wanazojinyakulia bure bure