Kuna Padre yeyote aliyetajwa na mleta mada? Au ulitaka kuanzisha thread yako ukajikuta unachangia mada ya mwenzako??huyo padri yupo humu humu nchini,
Kwa upande wa Mpemba ambaye ni Askofu wa Kanisa la Tanzania Field Evangelism,alisema hajulikani alipo.Aliwaomba raia wema wenye taarifa za askofu huyo, kutoa ushirikiano kwa polisi kueleza alipo.[/QUOTE]
Naona maelekezo ya Sheikh Ilunga yanafanyiwa kazi. Akikamatwa sheikh mmoja tafuta Askofu wa kulipiza kisasi dhidi yake. Vinginevyo hasira za wafuasi wa yule sheikh hazitaweza kutulizwa!!!
serikali imeshindwa kufanya kazi kama serikali, inafanyakazi kwa kuogopa watu fulani. sasa nini maana ya serikali?
Al Shabab na Boko Haram wapo kazini. Akichinja binadamu mwenzie eti thawabu zinaongezeka kwa mola. Hii sio dini ya kukimbilia bali ni ukafiri. Hawa ndio kafiri namba moja.
Wagome kwani inatumika sharia kuhukumu?Hakimu ni Mkristo hawezi kuhukumu kwa kuzingatia sheria! ni lazima atawadhulumu watuhumiwa wa Kiislamu hivyo panahitajika mahakimu 2 Muislamu na Mkiristo ili kuleta balance! Mashehe wote waliokamatwa hawana budi kugoma kuhukumiwa na Mahakimu wakristo pekee!
Al Shabab na Boko Haram wapo kazini. Akichinja binadamu mwenzie eti thawabu zinaongezeka kwa mola. Hii sio dini ya kukimbilia bali ni ukafiri. Hawa ndio kafiri namba moja.
Hawa ndugu zetu wana matatizo gani kwani?
Hawawezi kuifanya hii nchi kuwa mahala safi pa kuishi bila vurugu na chuki za kidini?
kila kukicha hili ndo limekua gumzo sasa.
Aaaaaarrrggghhhhhh......
Wazee wa kahawa na bao.
Wazee wa nguruwe na vibudu
Wakati mwingine huwa nafikiria allah ni mungu wa aina gani anayehimiza waumini wake walipize kisasi!!!!!! Wakati wote sipati jibu.
Nimeanza kugundua uwezo wa akili zako kumbe unatumia " masaburi " kwani hizo huduma wanapata bure ?
Kwani kama Waislam nao wangekuwa wanapewa fedha na Serikali katika kuendesha shughuli zake kama MKATABA WA MOU unavyosema wasingekuwa na Hospital zao ?
Think BIG !
MODS naomba muwe waangalifu na mada za kidini, kama mnashindwa kuzifuta naomba mzihamishie kwenye ukurasa wa dini tafadhali. Lakini cha ajabu mada za udini mnaziweka kwenye jukwaa la siaisa kwa nini lakini. Radio Neema hawajafungiwa kwa sababu nyingine bali kwa kuachia mada zenye harufu ya kidini kisha fanatics wa Uislam na Ukristo kuchangia na hivyo kuwagawa watanzania. Najua habari kama hii ni muhimu lakini wachangiaji wanaijadili katika msingi wa udini, baada ya kumshutumu shehe Hamza wanawashutumu waislam wote na waislam wanawashutumu wakristo wote. HATUFIKI KWA HAYA TUMECHOKA NA HILI JUKWAA LA UDINI
Hakimu ni Mkristo hawezi kuhukumu kwa kuzingatia sheria! ni lazima atawadhulumu watuhumiwa wa Kiislamu hivyo panahitajika mahakimu 2 Muislamu na Mkiristo ili kuleta balance! Mashehe wote waliokamatwa hawana budi kugoma kuhukumiwa na Mahakimu wakristo pekee!
Al Shabab na Boko Haram wapo kazini. Akichinja binadamu mwenzie eti thawabu zinaongezeka kwa mola. Hii sio dini ya kukimbilia bali ni ukafiri. Hawa ndio kafiri namba moja.
Sawa,,
Vip kuhusu ushoga na ulawiti,sisi tusemeje??
Papa kajiuzulu,unajua sababu yake??