Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,343
- 33,487
kwahiyo thread yote ndo umemuona huyo Kipis?wengine huwaoni au nawe ni walewale wavaa ngozi za kondoo ndani mbwamwitu.Kipis mind your language
kwahiyo thread yote ndo umemuona huyo Kipis?wengine huwaoni au nawe ni walewale wavaa ngozi za kondoo ndani mbwamwitu.Kipis mind your language
Nililoelewa polisi wakiwa wanamtafuta mhalifu huwa wanatangaza kwenye vyombo vya habari uhalifu wake na jinsi wanavyomtafuta? Na huyo sheikh Ilunga hawakujua yuko India? Mbona Mbowe alipokosa mahakamani Arusha alifuatwa Dar na kuletwa na ndege mara moja?
kama watu wengi wanasikiliza kumbe ni nzuri.sijawahi kuzisikia itabidi leo nikazitafute zilipo nizinunue kabla hazijawa bidhaa adimu.Nimekuwa Bukoba mjini nmekuta duka moja la kuuza cd linaweka hizo cd za uchochezi na watu wamejaa hadi barabarani wasikiliza na kuangalia bila serikali kumchulia hatua,hawawezi kusema hawaliona hilo maana nishehemu ya wazi sana,kama unaelekea uswahilini pametizamana na Maua guest house karibu na msikiti.Hii yote ni uzembe wa watendaji,kwahiyo na BK wanasubiri mauaji ndio waanze kutangaza kuwakamata?
Nimekuwa Bukoba mjini nmekuta duka moja la kuuza cd linaweka hizo cd za uchochezi na watu wamejaa hadi barabarani wasikiliza na kuangalia bila serikali kumchulia hatua,hawawezi kusema hawaliona hilo maana nishehemu ya wazi sana,kama unaelekea uswahilini pametizamana na Maua guest house karibu na msikiti.Hii yote ni uzembe wa watendaji,kwahiyo na BK wanasubiri mauaji ndio waanze kutangaza kuwakamata?
tusoomee
Mjinga wa ukweli ni mtu ambaye hana elimu, hospitali, barabara, makazi, ulinzi, nk. Kazi kuzunguka mitaani na malapa siku nzima kusubiri mapumbavu mijizee yenu iwaambie kawauweni mapadre, maaskofu, na walei na mnakwenda kweli. Nafikiri wote mmepagawa na majini dini tu haiwezi kuwapeleka mbali hivyo katika ujinga. Jiangalieni kabla hamjaleta miguu hapa kukashifu dini za wengine ambao mnatibiwa kwenye mahositali na kusomesha watoto wenu kwenye shule zao. Itafika siku watawatupa nje ya taasisi zao na hamtakuwa na pakwenda. Ninawatadharisha tu. Zingatieni utamaduni wetu wa kuheshimiana na kuheshimu dini za wengine. Sijasikia mkristo akiagiza wakristo wenzake wakawauwe mashehe, mamufti, sijui na makitu gani kwa kujificha au kwa kuonekana. Sijaona mkristu aliyetoka kuchoma msikiti wa waislamu. Siku zinakuja ambazo hata wakristo watachoka na hapatakalika kwani hata wakiwatimua tu kwenye mahoapitali yao tayari mtajikuta kwenye wakati mgumu sana. Jamani waislamu jiheshimuni ni hilo tu.
Hakimu ni Mkristo hawezi kuhukumu kwa kuzingatia sheria! ni lazima atawadhulumu watuhumiwa wa Kiislamu hivyo panahitajika mahakimu 2 Muislamu na Mkiristo ili kuleta balance! Mashehe wote waliokamatwa hawana budi kugoma kuhukumiwa na Mahakimu wakristo pekee!