Imamu Kortini Kwa Uchochezi

Imamu Kortini Kwa Uchochezi

Status
Not open for further replies.
Safi sana kamata hao mburula ubwabwa wanaoeneza chuki za kidini.
 
No plz! Kumfunga maisha ni ukatili na ni kuongeza bajeti ya magereza bure kwa hasara ya walipa kodi. Angepigwa tu kale kasindano ka usingizi wa kudumu afu wamwachi akahangaike na wafuasi wake.
 
Askoff hana tatizo lolote wanataka kumkamata ili ku balance na shehe ilunga,wameona wakimkamata ilunga pekee inaweza amsha hasira za waislaam

Loading......du
 
Kwanini Mkuu wa Mkoa wa Mwanza hajakamatwa, aliyetoa kauli za uchochezi kuwa wenye haki kikatiba ya kuchinja wanyama ni waiislamu tu?
 
Kwanini Mkuu wa Mkoa wa Mwanza hajakamatwa, aliyetoa kauli za uchochezi kuwa wenye haki kikatiba ya kuchinja wanyama ni waiislamu tu?

Kweli, wangeanzia hapo kuliko kuzunguka zunguka tu, iko wazi baada ya mkuu wa mkoa kutoa tamko ndo ishu ilianza kuwa serious na kuenea zaidi..kama moto ulikuwa unawashwa na huyo imman mkuu wa mkoa kwa kauli zake ilikuwa petrol tosha kuleta hizo rapsha rapsha..
 
huyo padri yupo humu humu nchini, atafutwe apigwe pingu kisha abebwe kwa kibindo, then mchakamchaka mbaka kituo cha polisi akanyee debe!
 
hata wasira nae anastahili akamatwe kwa kutoa maneno yaliyochochea hasira kwa wakristo kua wenye haki ya kuchinja ni waislam tu,wote tu mashahidi kua baada ya mh.wasira kwenda kusuluhisha mgogo huu mambo yalibadilika na chuki na hasira ziliwajaa wakristo kutokana na maneno ya kichochezi ya ndugu steven wassira...naam matamshi ya nguli huyu wa ccm ndio hasaa yaliyo amsha chuki zaidi NAE AKAMATWE!
 
Inawezekana ni shinikizo toka kwa FBI
 
Hakimu ni Mkristo hawezi kuhukumu kwa kuzingatia sheria! ni lazima atawadhulumu watuhumiwa wa Kiislamu hivyo panahitajika mahakimu 2 Muislamu na Mkiristo ili kuleta balance! Mashehe wote waliokamatwa hawana budi kugoma kuhukumiwa na Mahakimu wakristo pekee!
Huu ni ufinyu wa mawazo.Wewe ndo unaleta mambo ya udini.Hayo aliyosema si sahihi?Hukumu bado haijatolewa, weweunleta mawazo yako ya ajabu hapa.
 
kamata nyoa midevu vua mkanda sopa ndani kama lile li ponda..magaidi wakubwa hao viva jeshi la said mwema
 
Hakimu ni Mkristo hawezi kuhukumu kwa kuzingatia sheria! ni lazima atawadhulumu watuhumiwa wa Kiislamu hivyo panahitajika mahakimu 2 Muislamu na Mkiristo ili kuleta balance! Mashehe wote waliokamatwa hawana budi kugoma kuhukumiwa na Mahakimu wakristo pekee!
Wazee wa kahawa na bao.
 

Kwa upande wa Mpemba ambaye ni Askofu wa Kanisa la Tanzania Field Evangelism,alisema hajulikani alipo.Aliwaomba raia wema wenye taarifa za askofu huyo, kutoa ushirikiano kwa polisi kueleza alipo.
[/QUOTE]

Naona maelekezo ya Sheikh Ilunga yanafanyiwa kazi. Akikamatwa sheikh mmoja tafuta Askofu wa kulipiza kisasi dhidi yake. Vinginevyo hasira za wafuasi wa yule sheikh hazitaweza kutulizwa!!!
 
Nililoelewa polisi wakiwa wanamtafuta mhalifu huwa wanatangaza kwenye vyombo vya habari uhalifu wake na jinsi wanavyomtafuta? Na huyo sheikh Ilunga hawakujua yuko India? Mbona Mbowe alipokosa mahakamani Arusha alifuatwa Dar na kuletwa na ndege mara moja?
 
huyo padri yupo humu humu nchini, atafutwe apigwe pingu kisha abebwe kwa kibindo, then mchakamchaka mbaka kituo cha polisi akanyee debe!
Biblia iko wazi kabisa juu ya kuchinja. Labda kama wanataka kuipiga marufuku hapa Tanzania kuwa ni kitabu kinacho chochea chuki dhidi ya waislamu. Nayo itakuwa vigumu maana mawakili watetezi watathibitisha biblia iliandikwa kabla ya uislamu ulionzishwa na Mohammad miaka 700 baada ya Kristo. Biblia inaeleza wazi katikaa nyaraka za Paulo kwa Wakorintho kuwa kama mtu akiwambia nyama hii imetolewa sadaka kwa miungu yake basi usile, asije akadhani yule mtu kuwa umeungana naye kuiabudu. Muda wakristo walipochinjiwa hawakujua kuwa waislamu wanaiita ibada, na sasa wanalazimisha kila mtu aifuate!! Kama wakristo walikuwa wanawaita waislamu kwa hiari wawachinjie, sasa shurti inatoka wapi? Na wasipowaita dhambi ni ipi?
 
Hakimu ni Mkristo hawezi kuhukumu kwa kuzingatia sheria! ni lazima atawadhulumu watuhumiwa wa Kiislamu hivyo panahitajika mahakimu 2 Muislamu na Mkiristo ili kuleta balance! Mashehe wote waliokamatwa hawana budi kugoma kuhukumiwa na Mahakimu wakristo pekee!

masaburini....yaan udini umekukaa mpaka kwenye kucha zako....usisahau kuomba apelekwe kwenye jengo la mahakama lililojengwa na muislam na mkristo...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom