Imamu afariki mikononi mwa polisi Arusha

Imamu afariki mikononi mwa polisi Arusha

Status
Not open for further replies.
Hata kuelewa tu huelewi, wanachi ndio tutaodhurika hao magaidi tunaowaimba kila saa watapoanza vitimbi vyao... uelewa wako mdogo sana bye

Nendeni ISRAEL mkafanye vituko vyenu vya kigaidi muone!
 
Aliteswa na kupigwa hivyo subject iwe Imam auliwa na polisi.
Ni mundelezo wa sera za marekani kuwatumia askari walofunzwa maalum kupambana na uislam a.k.a ugaidi.
Lengo kuu la marekani ni kupambana uislam dunia nzima hivyo kazi ya sasa ni kuua maimam na masheikh ili waislam wakose walimu wa dini yao
 
Waeleweni Wamagharibi
Vifaru, Ndege, Mizinga, Makombora, Bunduki, Mabomu nk WA African na hao WA Arabu ktk makundi ya watu masikini wanavipataje?
Kisha tunauwana cc wenyewe wao wanakusanya Mali zetu.
Tamebakia Kuimba Ugaidi, Udini nk. Nani KAULETA UGAIDI KAMA SIO UJINGA WETU WA KUPOKEA KILA KITU CHA MZUNGU
 
Safi sana Mungu mkubwa wacha yafeeee

halafu we choko nenda kaendelee kupumuliwa kisogoni, mtu mmeambiwa anashikiliwa kwa tuhuma za ugaidi kwani ilishathibitika? huko uliko wanakuharibu ilo tundu rudi tu tz upumzike
 
Siku hiz sitak kabsa malumbano ya kidin. Nachukia uovu na watenda mauvu. Ngoja nirud kubeba boks
 
Siku hao magaidi wakianza kulipa visasi tusisikie vijambio vyenu kupiga kelele
Hata kenya walikua wanafurahi sana akina rogo wanapouliwa lakini kibao kilipogeuka wamerudi na kupunguza ushabiki wa kijinga.
 
Huyo Imam kafariki akitibiwa hospital ya Mt Meru na si chini ya uangalizi wa Polisi.Polisi walikuwa pale kwaajili ya kuhakikisha usalama wake maana kuna watu tuna uchungu sana na hawa magaidi mandazi afadhali Mungu kaamua kuichukua roho yake mapema pengine atakuwa salama zaidi akikutana na magaidi wenzake akina Osama,Gaddaf........


Imamu wa msikiti aliyekuwa anashikiliwa kwa tuhuma za ugaidi huko Arusha amefariki baada ya kuugua kwa muda wa miezi sita akitibiwa katika hospitali ya mount Meru akiwa chini ya ulinzi mkali wa polisi.

Source: Gazeti MWANANCHI leo.
 
imamu wa msikiti aliyekuwa anashikiliwa kwa tuhuma za ugaidi huko arusha amefariki baada ya kuugua kwa muda wa miezi sita akitibiwa katika hospitali ya mount meru akiwa chini ya ulinzi mkali wa polisi.

Source: Gazeti mwananchi leo.
haya magaidi yafe kabisa maana wameua wengi sana hapa arusha tangu yakamatwe arusha swarii
 
.......Nilidhani amekufa mtu wa maana, kumbe Imamu wa msikiti! Acha wafe tu.
 
Hata kenya walikua wanafurahi sana akina rogo wanapouliwa lakini kibao kilipogeuka wamerudi na kupunguza ushabiki wa kijinga.
......Anzeni na hapa tuwafanye ule mchezo wanaofanyiwa masheikh wa Zanzibar kule jela.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom