Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,189
hahaha ndo yeye,,,mi nilisema mapema naogopa kumuona nenda kajipange upya mwaya
safari hii itabidi unieskot. Lol!
hahaha ndo yeye,,,mi nilisema mapema naogopa kumuona nenda kajipange upya mwaya
umeanza maangaiko?achana na keren ni wa kimey
yani hapa naanza kuimagine hivi fainest yukoje vile???????
huyu ndugu yangu kaanza ukabaila lini Wiselady? no wonder najikuta napata kikohozi kohozi juu yako....
huyo mlimani ndo patamuokoa,,unajua vile nakumiss lkn??
Mi nakaribia kufa sasa my dear..ndo nini lakini njoo huku unitoe haya mafua yasoisha:mwaaah::mwaaah::mwaaah:
Komredi, The Finest kadaka chetuntu, Heren K, Husninyo, Maty, Lizzy, na WiseLady
CPU kadaka eksitensheni kebo
Labda anamzungumzia yule mdogo wako l.o.lHuyo hapo kwenye red...ni nani?? Inaonekana sijapata bahati ya kukutana naye humu kwa JF....!!!
Wengine avatar zao zinaelezea namna walivyo!
Ahaaaa ahaaa Katavi usinifanye nichekeWengine avatar zao zinaelezea namna walivyo!
Labda anamzungumzia yule mdogo wako l.o.l
Wengine avatar zao zinaelezea namna walivyo!
Kwahiyo Katavi unataka kusema kuwa, avatar yako inaelezea jinsi ulivyo?!..LOL
lol....kwahiyo katavi unataka kusema kuwa, avatar yako inaelezea jinsi ulivyo?!..lol
Karen, karen, karen, karen!!!!!!!!!!!!
Hiyo avatar yako............lol....
Exactly nilipokuwa mtoto....lol!Kwahiyo Katavi unataka kusema kuwa, avatar yako inaelezea jinsi ulivyo?!..LOL