The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
Gud to hear that wil talk moreYap niliupata.
Gud to hear that wil talk moreYap niliupata.
Leo nitakupa suprise usishangae lakini
Gud to hear that wil talk more
Nimefuga ndevu kama Rick Ross pia ninacho kitambi kama cha Kapteni John Kombahalafu wewe nina hamu ya kukuona. Ila nikikukuta na kitambi natoka nduki.. Ha ha ha!
Ahaa ahaa mkuu umeishaanza kuogopaMmmmmmmmmh Mmmmmmmmmmh
Unanijua nini???
Niko nje hapa namsubiria Husninyo atoke nje nimuoneNaona mkuu una sumaku kali kweli, chetuntu, WL, Maty, HK, Husninyo wote wamenasa
Gud to hear that wil talk more
Naona mkuu una sumaku kali kweli, chetuntu, WL, Maty, HK, Husninyo wote wamenasa
jaman me bdo sijanasa.
Mimi huwa na imagination na BABU ASPRIN kuwa ni cha POMBE sana!!!
Imagination ya kwangu yenyewe huwa siipatii pcha! ngoja nikajiluk kwenye kioo!!!
Ila unaelekea kunasa tena utadata kabisa
Hahaha we chetuntu wewe? Haya bana! Mi sitii neno!Me huwa namuimagine Kimey ni mkaka mfupi, mnene surual za kitambaa, anapenda kitimoto na biere . Michelle ni kadada kadogo dogo ,mweusi .
Thanx mamito kwa kujali maslai yangu!umeanza maangaiko?achana na keren ni wa kimey
yani hapa naanza kuimagine hivi fainest yukoje vile???????
Komredi hebu nipe muktasari hapa nani kadakwa nani bado tu du ze nidifulIla unaelekea kunasa tena utadata kabisa
Hommie ivi kitambi chako hicho ni cha kurithi ama? Kila cku hua wanshangaza ujue!Niko nje hapa namsubiria Husninyo atoke nje nimuone
Kimey ni mkaka mfupi, mnene surual za kitambaa, anapenda kitimoto na biere
Michelle ni kadada kadogo dogo ,mweusi .
Komredi hebu nipe muktasari hapa nani kadakwa nani bado tu du ze nidiful