mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,115
CCM kwa kughushi hamjambo hata sahihii ya marehemu, vijana wakighushi vyete feki wapate ajira nyie mwalalalama
Jeshi la polisi linasubiri nini kuchunguza na kuwatia mbaroni wote waliohusika na kughushi saini ya Mwalimu na Msekwa?
Asiye na maana haambiwi maana, hiyo ilikuwa ni ahadi ya kampeni ya Kikwete na akaitimiza immediately alipopata Urais tu.
Samweli Sitta: "...Ni vijana wa AG Chambers. Wameongeza kidogo maandishi kwenye sahihi ya Nyerere."
Werema: "Mi hiyo sijui"....
Msekwa ".....?!".
Mkuu hii nchi bado sana. Shahidi wa kwanza anatakiwa awe Mzee Msekwa na yeye keshakiri kuwa sahihi ni ya kwake.Jeshi la polisi linasubiri nini kuchunguza na kuwatia mbaroni wote waliohusika na kughushi saini ya Mwalimu na Msekwa?
Jibu lake rahisi sana. Mfumo wa sasa unaruhusu.Kwenye hati ya muungano ilio ineshwa kwenye rasimu ime fojiwa...
Cha kujiuliza kulikoni ?
Hoja ni nini hapa au unataka kupata au kujua nii hasa we mleta mada.
Nilikuwepo way before 1964. For your information, nipo toka Tanganyika haijapata Uhuru.
definitely it is.