Kiranga God must exist. The law of cause and effect states that every material effect must have an adequate cause. Our universe could not have come from nothing, the effect would be tremendous without an adequate cause..!!
Nimekuuliza, what has that got to do with the price of pork in China?
maana yake kama wewe hujui kuna watu wanajua
Na huo mfano wako wa kwenye chumba kama wewe hujui kilichomo aliyefunga anajua ndio kama akili zetu mungu kazifunga
Are you a human being in the first place?
Huwezi kusema aliyefunga anajua kabla ya kuthibitisha aliyefunga yupo.
Thibitisha kwamba mungu yupo.
siku utakayonitajia maana ya kifo na unapokwenda baada ya kufa nitakuonyesha Mungu alipo na uthibitisho
mlango lazima utengenezwe ndio ufungwe sasa ni lazima mfungaji awepo anayejua ndani kuna nini
mdau wewe ni noma, any number ukigawanya kwa zero is undefined..
i believe it to be a logical impossibility. I dont believe u need to go any further than this to disprove the existence of a single thinking entity as a creator of things.
What is the point of this question?
The point is, human beings are the most advanced creatures who can reason the cause and effect, nilikuuliza wewe unajua asili yako unajua ulitoka wapi? Ukajibu hujui! HUJUI asili yako? Si ajabu ukawa pia hujui kwa sababu gani unaishi na pia hujui ukifa utaenda wapi. Vyote hujui that's why nikauliza, are you a human being in the first place?
Hujajibu swali langu.
What is the point of this question as far as the existence of god is concerned?
Nikisema sijui ninatoka wapi na ninaenda wapi, does that prove god exists?
So you do agree that the thinking kwamba kuna mungu aliyeumba vyote, muweza yote, mjuzi wa yote, mwenye upendo wote is mistaken?
jibu swali
Hujajibu swali langu.
What is the point of this question as far as the existence of god is concerned?
Nikisema sijui ninatoka wapi na ninaenda wapi, does that prove god exists?
tupeane maarifa jaman,bible inasema watu wangu wanaagamia kwa kukosa maarifa.....,back to the topic,KWAKUWA mwanadam wa kwanza (adam na eva) alikiuka matakwa ya mungu ndipo wakakosa utukufu kwa muumba,na tnasoma bible Mungu ikabid aanze plan ya kumurudishia mwanadam heshima kwa kpitia maagano mbalimbali,yapo mengi kama la ibrahim,nuhu,sinai na mengine mengi..,LAKINI HAIKUTOSHA Mkumbke haya mambo ni ya kiroho na MUNGU NI ROHO,MUNGU alitoa taarifa ya agano jipya kfanyika duniani i.e ktoa kafala ya mwanae ambaye ni nafsi yake pia,ili hyo anayetolewa sadaka awe na mamlaka ya kuchkua udhaifu wetu na dhambi zetu tukimuomba,thuswhy ukisoma injili ya yohan vzr yesu alianza kudai alichokuwa ameahidiwa na BABAYE,na alpomalza kaz aliyoagizwa alsema wazi kabsa,bla kpitia yeye BABA hatumuon kamwe,na tnafaham shetani yupo mda wote naye ni roho,na ili uweze kfkisha hoja zako kwa Mungu lazma uwe msaf,i mean utubu dhambi,swali langu ni je~itakuwaje sasa upeleke hoja kptia mwngne ambaye kwanza hana uwezo