I'm sorry Baby

I'm sorry Baby

Malezi yanachangia pia
Malezi wapii mwanzo wa penzi mbn wanaweza kosa mmzoeane tu utasikia yaisha bhana tena unaambiwa kiukali wakt mwingne sio mazoea ni ubabe tu wa kipuuzi
 
Kwa hiyo unaenda na masaa ya Israel sio watu kwa fursa nyie...

CEO sijamuona siku ya tatu leo isije ikawa alikufa na yesu bwana

Ha ha ha CEO kule alipo atakuja kufufuka na yesu baada ya siku ya tatu maana kuna mtu mbili zimempiga pin sina uhakika sana kama atawaacha salama
Cc Asprin
 
Back
Top Bottom