I'm sorry Baby

I'm sorry Baby

Oouh nikajua yameshakufika mdomoni.

Kuomba msamaha ni kuzuri saana hasa unapokuwa umemkosea mwenzako. Sema na ikizidi hiyo I'm sorry inaboa
Hahaa sorry inazidi kwa sababu makosa yamezidi. Sasa makosa yakizidi sema tu sorry, au utajikausha? Maana kama unarudia the same mistake over and over , hata ukisema sorry haimake sense jamani
 
Hahaa sorry inazidi kwa sababu makosa yamezidi. Sasa makosa yakizidi sema tu sorry, au utajikausha? Maana kama unarudia the same mistake over and over , hata ukisema sorry haimake sense jamani
Simaanisha hivyo mimi...

Namanisha sio kila kosa la kumfuata mpenzi wako kama kwenye uzi na kujishusha chini nakuanza kuomba msamaha.

Mfano eti mwanaume umechelewa kurudi nyumbani..uombe msamaha kweli? Neno I'm sorry lisitumike kwa kila kosa mwisho litaonekana ni neno la kawaida hata ukimwambia mwenzako anaona ndiyo yale yale tu
 
Simaanisha hivyo mimi...

Namanisha sio kila kosa la kumfuata mpenzi wako kama kwenye uzi na kujishusha chini nakuanza kuomba msamaha.

Mfano eti mwanaume umechelewa kurudi nyumbani..uombe msamaha kweli? Neno I'm sorry lisitumike kwa kila kosa mwisho litaonekana ni neno la kawaida hata ukimwambia mwenzako anaona ndiyo yale yale tu
Haha ukifika unaanza kujichekesha "Yani nimekutana na fulani bana, tukaanza kupiga story hadi nimechelewa". Of coz kuna muda mnaweza kuangaliana tu mkaishia kucheka
 
Haha ukifika unaanza kujichekesha "Yani nimekutana na fulani bana, tukaanza kupiga story hadi nimechelewa". Of coz kuna muda mnaweza kuangaliana tu mkaishia kucheka
Pia inategemea na aina ya watu.. mimi kama najua nimekosa mbona hadi utasahau maana utachekaa weee kuja kushangaaa tupo kitandani tumelala
 
Kuna wanaume wagumu san kuomba msahama na km wakiomba wanaomba kwa mazoea sio kujutia kosa na kujirekebisha ilo hawana inafkia hatua unabaki kumuanglia tu ata akosee afanyaje mim siuliz mtu maisha yanaendlea coz unachokaa
 
Back
Top Bottom