Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 34,961
- 80,223
- Thread starter
- #61
Oouh nikajua yameshakufika mdomoni.Hahaa nimetoa tu mfano. Sie tunaombana tu msamaha. Maana mie kunigeuzia kesi inabidi ujipange teh
Kuomba msamaha ni kuzuri saana hasa unapokuwa umemkosea mwenzako. Sema na ikizidi hiyo I'm sorry inaboa
