mis lemich
JF-Expert Member
- Jan 25, 2017
- 207
- 176
I'm sorry.." In respectable manner en in meanifull way.... Itakua sahihi LA sivyo itakua kutimiza wajibu... Mwsho penzi litapea
Km ulivyosema babu km mpenzi wako amekukosea ukamuomba samahamni,,, unadumisha mapenz yenu. ....kupenda huko kawaida km mm napenda kweli kudeka babuuu kwahiyo nikinuna kuna kazi ya ziada,...Mnapenda eeeh
Haswa !.Upo sahihi.... inatakiwa itoke moyoni ila kama niya kinafiki bora usiiseme
Hujambo??? Jov
Aseee wanaume wachache saana wanaoweza kulitamka hilo neno ,, akikuuzi utasikia yaishe bhana tubadili madaa ,,,, I'm sorry baby tena kiromantiki mmmh km nilishawahi kumpata wa hivi ngoja nikafikilie naludii
Mbishi mnoo.....hahahhh hakujua inabidi umfundishe
Ya China haipo???![]()
![]()
ya wapi hii iliyo salia ya nyumaeeee?????!!
Tembo bora kumuonea mbugani kuliko kumfuga mkuu Daby.Miss Natafuta anasemaje
Pole mpendwa.... Binafsi kama kweli kama kweli nimekosea ntaomba msamaha ila sio kwa kila kosa.Yani shukuru ukiambiwa "basi yameisha jamani". Maana wanaume kwa kugeuza kesi hawajambo. Kosa lake Ila litageuzwa liwe lako na wewe ndo uombe msamaha. Mnanifurahishaga sana
Hahaa nimetoa tu mfano. Sie tunaombana tu msamaha kwa roho moja. Maana mie kunigeuzia kesi inabidi ujipange tehPole mpendwa.... Binafsi kama kweli kama kweli nimekosea ntaomba msamaha ila sio kwa kila kosa.
Sikukuu zimefika sasa, huu ndo muda muafaka wa kuyaomba msamaha makoloni yote ili angalau upate wa kusuuza rungu.
Nice Job Daby