Kashindwa kumwambia I'm sorry husnahahahha hii thread yako inatuhusu ndio mana nimemwita ndg yangu aje ajionee
hahhaha huyo kamuacha mtto wa watu mbele ya watu sio vizuri ujue sumbai ila husna tulimwambi lknKashindwa kumwambia I'm sorry husna
Katika mahusiano kuna purukushani na kukoseana kwingi saana. Wanawake ni watu wa emotions akikereka lazima ujue while men tunaweza kuyaweka..kuyasahau na siku zikaenda. Ila Wanawake wanajua kununa na hata kudiriki kufika kukataa kuongea na wew, aidha tatizo liwe kubwa au dogo..ndivyo walivyo uwe umemjibu vibaya, kumtukana ndugu yake au kumkatalia maoni yake Yeye atanuna Tuu. Unapogundua umemkosea mpenzi wako.. usipanic na wewe...
Neno I'm sorry ni neno linaloweza kudumisha mahusiano yako na kuyafanya yawe ya kipekee pindi unapomkosea mpenzi wako.. romantically, tengeneza mazingira kisaikolojia, mfanye mpenzi wako atabasamu, ikiwezekana mpe kizawadi hata kidogo, mwangalie usoni, ikiwezekana mkumbatie kimahaba then say to her BABY I'M SORRY. Kama ni mwelewa na sio mtu wa ligi dakika sifuri tu analegea na mambo yanakuwa ok. Jifunze kusema I'm sorry mahusiano yako yatakuwa ya kipekee saana.
Note: neno hili litumike sehemu sahihi sio kila dakika tu I'm sorry baby, samahani honey.. mwanaume utashusha hadhi yako.

Bro nimeachika mimiKashindwa kumwambia I'm sorry husna
Mlimwambia nini... mimi ndiye nimeachikahahhaha huyo kamuacha mtto wa watu mbele ya watu sio vizuri ujue sumbai ila husna tulimwambi lkn
au sumbai mambo ya mita 200 nitumie picha mtu kabadili gear angani
unajua huu msemo wako utakua umehusika mm nauheshim sana
Dah Sasa hakujua formula ya first date????hahhaha huyo kamuacha mtto wa watu mbele ya watu sio vizuri ujue sumbai ila husna tulimwambi lkn
au sumbai mambo ya mita 200 nitumie picha mtu kabadili gear angani
unajua huu msemo wako utakua umehusika mm nauheshim sana
Unaachikaje wewe?? Yeye ndio alioaBro nimeachika mimi
Mlimwambia nini... mimi ndiye nimeachika
Vi mpesa hivyo ni pie.. yaani vipo kama pumzi..
Jifunze hata akikataa kupokea pesa unayompa unamwambia baby I'm sorry chukua hiki kilaki tatu

Miss Natafuta anasemajeSasa mimi ni copy nani maana miaka yote jf sijakutana ns tulizo la moyo!
Sent from my TECNO W4 using JamiiForums mobile app
Pesa zitakuja kukutoa bikra wewe
ya wapi hii iliyo salia ya nyumaeeee?????!!