Guys, habari ya hapo mulipo? jioni hii niko down sana. Najisikia kukata tamaa kwani nilivyopanga haijawa kama nilivyotarajia. Pia ninapitia wakati mgumu sana kibinadamu.
Naomba unifariji jisikie huru kuweka ujumbe wako hapa au kuja PM kuweka ujumbe wenye faraja na huenda nafsi yangu itapata ahueni.
Naogopa kushirikisha watu kile kinachonisibu wengi siwaamini.
Afadhali hapa JF walio wengi hatufahamiani.
Asanteni.
Naomba unifariji jisikie huru kuweka ujumbe wako hapa au kuja PM kuweka ujumbe wenye faraja na huenda nafsi yangu itapata ahueni.
Naogopa kushirikisha watu kile kinachonisibu wengi siwaamini.
Afadhali hapa JF walio wengi hatufahamiani.
Asanteni.