I'm Planning to Meet lara 1

I'm Planning to Meet lara 1

Mhhhhhhhhhh!!!!!!!!

I agree vanity upon vanity is vanity! But its never too late to change or start over!

The billion dollar Question is DO I REALLY WANNA CHANGE? Well i guess you saw it coming! NOPE!!!!!!!!!

As of Him, How can i steep so low to an EASY YES! Im a lady of virtues you know? A true lady likes his man hunting for her! The hader the hunt, the sweeter the victory!

I seriously doubt he is much of a hunter though! But they say NEVER SAY NEVER!!!!!! Let watch n see!

Don't think if i need to work harder here, but cleverly!
 
mimi naona kama hii picha inaendana na haya matendo ya kwenye keyboard mkuu,
..anaonekana mtata ukimcheki kwa upande upande...hebu cheki mwenyewe...
Ni kweli mkuu, natamani kabla hawajakutana na simplicity, nimualike mimi kwanza maana natamani sana nimuone huyo kubwa la maadui, ila sina uhakika kama utakubali kuja kula mihogo ya huku shamba, maana kwenye hiyo picha inaonekana hata ugali ni mara 1 kwa mwezi sasa bajeti yangu ndogo ngoja niendelee kula kwa macho
 
kwa lengo la usalama, tutahitaji shushushu kutoka jf kwa zoezi hili....
 
I meet her last night near by the super market street and good news is, she was also looking for you during noon time at the all city centre streets.
What you have done here is good thing for her and if you might not meet one another, I'll try to find her and pass this msg.
Duu!noon time ndo kusema mchana au kitu gani hiki jamani! siku zingine uwe unauliza au uwe unaPM hata BAK hana hiana yule atakuelekeza na wimbo juu!
 
Hivi hiyo kwenye avatar yake sio yake?!?
ILE NI PICHA YA AMBER ROSE mwanamitindo wa U.S MKE WA WIZ KHALIFA na si muda mrefu mwanadada huyo alijifungua baby BOY!....Ila sasa kwa haraka haraka huenda LARA1 na AMBER watakuwa wanaendana mana naye Amber ni sampuli YA lara1 cHEZEA!
 
So lets start with the common protocol! CHATTING!

Ill start the conversion, I sense you are shy! I like shy guys! They talk less and chop money more (SHY GUY-Diana King)

So unaweza kuniambia wewe ni mwanaume wa aina gani? Whats special n unique abt you!?

Uniqueness and speciality nitakuonyesha wewe tu lara 1, special surprise!
 
lol...
He who hath done, hath done,
the future holds no miracles..and nothing is too new to an old eye.
Behold ALL is vanity, all of it!! said King Solomon.

Did you just give him such an easy YES?!?

Hahahaaa. Mkuu acha hizo, usitake lara 1 aanze kuwa mgumu bila sababu!
 
wakuu mnaniangusha....kwenye avatar yake ni AMBER-ROSE ex-gf wa Kanye West......mtamuweza mtoto wa mjini kama mambo ya mjini hamyajui......

That's is an impression i got, the subject of this topic.
 
Breakfast inanihusu sasa hivi, I'll be back later.
 
Mhhhhhhhhhh! A lawyer! IM IMPRESSED! A man is a lawyer so they say!!!!!!!!!!!!

As to your motive of meeting me i seriously dont understand! But ill go along with your show!

And why are people getting impression that IM SOME HOW HIDING MYSELF!

Come on people! Cut me some slack! TOO MANY PEOPLE KNOW ME IN THIS FORUM! AND YES! I STILL WRITE SHIT! (How Ironic)

I show up to any JF party there is. I just want to clear this once n for all!

1. So many people know me, Amu, Watu 8, Mtambuzi, Cacico, Mwa J, Sweet, Madam B, Marejesho, Rutashobolwa, ET AL! So i got nothing to hide.

2.I am always ready for a smack down on looks! I might not be a beauty or drop dead georgeous but im sure as hell OVER CONFIDENT ON HOW I LOOK! You can sure as hell tell me NOTHING! Inferiority complex aint my shit!

OH YEAH! SIMPLICITY IM READY FOR YOU! (I wanna see ya balls n how georgous you look AFTER ACTUALLY WRITING THE FACELESS THREAD! I just cant resist to see for myself! All those noise gotta have something BIG involved! Ang the negro cant just wait to see it!) Dont worry I HAVE SEEN WORSE!

Why are you so defensive lara 1? C'mon take it easy, this guy ain't gonna bite u. Okay?
 
Last edited by a moderator:
Shemeji yenu huyu, hebu mwacheni mysweetheart Lara 1. Lara 1 wathibitishie juu yalo..!
 
halafu uje kumuanzishia thread.
lara 1 keshakujua mtu wa aina gani leo baada ya thread yako faceless huyo mdada yupo smart wewe ni kilaza.
Sijui mtaongea nini

AMU, ulikuwa akilini mwangu,nilitaka kumuuliaa hivyo!
Maana ss tutaogopa kuonana na watu hum coz tutaanzishiwa uzi hum,halafu yakawa yaleyale ya SAKAPAL...baada ya kufahamiana mawasiliano yakakata
 
Last edited by a moderator:
following...

Hii mechi ishaisha, ni 4 kwa 0 hii. Mchokoza mada hawezi rudi maana kishatolewa nock out siku nyingi sana, tena TKO. Angeanza Kiswahili kuliko kuazima kiingereza na aliyemuazima kalala hataki kuamka kumjibia.
 
Back
Top Bottom