I always admire your commentsCode:Mhhhh jamani itahamishiwa sasa hivi kwa wakubwa, mie nadhani kila mtu na utashi wake, kuna wengine bila hiyo hujampigia kazi bado
It is now too late to catch the departed bus................
Ndani ya ndoa hata kukiss ni taabu moja kwa moja kwenye linalohusi balaa tupu, wengi walioolewa wanasema wamesahau hata romance ni nini, mume akifika anaanza tu moja kwa moja
Kwa msaada wa watu wa Marekani!!! Ha ha haaaa!yote heri tu,
unajua starehe waipatayo watu wawili,
wao peke yao ndo wanaweza kuielezea,
Tatizo tunakuwa wasiri sana kwenye hii starehe,
kumbe moyoni tunaugulia kimyakimya,
tuzungumze jamani!!!!!!!
TAFAKARI,CHUKUA HATUA
Na watumiaji wa tigo hutumia maneno haya haya....! TAFAKARI.uchafu gani sasa na wewe?
nyie mnaoleta usafi kwenye game ndo huwaga hamfaidi nyie
Hata kama kutumia mtandao???:confused2::confused2:
Mtandao dini inakataza wazi wazi. Usijaribu tafadhali...
Hii ni thread nzuri, hebu tuichangie vizuri!
Gagurito sijui watu wanaogopa nimetumia lugha kali.