carmel
JF-Expert Member
- Aug 24, 2009
- 2,836
- 262
Geof, I real feel for you brother, just dont give up and have some more faith. Its life, a reality especially in marriages, they all have ups and downs, and you are not alone. wanawake wote hununa at some point in daily life, so hiyo isikunyime raha sana, muache anune tu lakini hakikisha unaongea pale unapotaka kuongea na kuendelea kumjali, siku akiwa kwenye good mood, muongeleshe kimahaba tu msolve tofauti zenu, just keep on trying and trying everytime. Hata mimi na hubby huwa inatokea tunanuniana then nikimuona huby yuko so down roho inauma sana hata kama nimemnunia siku mbili naamua kulegeza masharti. it happens.